JITU BANDIA
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,681
- 6,026
Vipo vya dizaini kama flash disk na vinachajiwa kwenye Umeme kama unavyoji simu.Shisha anaiweka kwenye bag?
Vipo vya dizaini kama flash disk na vinachajiwa kwenye Umeme kama unavyoji simu.Shisha anaiweka kwenye bag?
Noma sana!Unajua huoi supermarket kwamba utapata kila kitu humo, na kwa dunia ya leo huoi kigoli, na si ajabu ukakuta matundu yote yana pancha ila kama umempenda unaweza kumbadili na kuwa mkemwema kabisa.. kikubwa upendo
Mtu anayetumia Finasteride bed perfomance yake inakuwa sawa tu au inaathirika sana?Mimi ni Daktari wa Mfumo wa Mkojo. Nadili na njia zima ya mkojo kuanzia kwenye figo mpaka kwenye kibofu na baadae utoaji nje ya mwili. Nahusika pia kufahamu mfumo wa uzalishaji wa mbegu na mayai, na changamoto zake.
Hizo ndizo code zangu. Mengine siyafahamu. I'm a urologist.