Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
wanajf nimekuwa nikifuatilia sana mijadala ya bunge ila naona kauli za upinzani haswa chadema ndizo zinazoamriwa kufutwa kila wakati,na hata nje ya bunge kauli za wabunge wa ccm zinapita tu hata kama zimeingia kwenye hansard za bunge.
mnyika kutaja neno rais ni dhaifu hata kama lipo kwenye misamiati ya kawaida anatakiwa kufuta ila nchemba kuita wabunge ni wajinga na kiita bajeti ya upinzani takataka hata kama ipo kisheria.
komba aliwahi kusema kuwa serikali ikiendelea kushindwa kupeleka maendeleo kwake atawashawishi wapiga kura wake wahamie malawi na hilo liko kwenye hansard.
pamoja na kauli ya nasari kufutwa na mwenyekiti wake muda uleule bado ccm wameendelea kuishikia bango.
mnyika kutaja neno rais ni dhaifu hata kama lipo kwenye misamiati ya kawaida anatakiwa kufuta ila nchemba kuita wabunge ni wajinga na kiita bajeti ya upinzani takataka hata kama ipo kisheria.
komba aliwahi kusema kuwa serikali ikiendelea kushindwa kupeleka maendeleo kwake atawashawishi wapiga kura wake wahamie malawi na hilo liko kwenye hansard.
pamoja na kauli ya nasari kufutwa na mwenyekiti wake muda uleule bado ccm wameendelea kuishikia bango.