ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,587
- 44,832
Naomba kujuzwa kama kuna wadudu jongoo hawa Wanaong'ata na kusababisha madhara kwa sumu yao?
Inategemea kuna jongoo jongoo na jongoo wa kutumwa😁😁Naomba kujuzwa Kama kuna wadudu jongoo hawa Wanaong'ata na kusababisha madhara kwa sumu yao?
Binafsi nikimkuta jongoo anatambaa kuelekea barabarani, huwa namchukua kwa upole na unyenyekevu, na kumrudisha katika majani au sehemu salama ambayo haitampa nafasi ya kuelekea sehemu hatarini again kwa maisha yake kama barabarani, kwenye shimo, moto nk.Hats sijui wanaumaje....nimezoea kuwaweka kiganjani wakiwa wanyoofu then nafurahi kuwaona wakijikunja
😂kabisaBinafsi nikimkuta jongoo anatambaa kuelekea barabarani, huwa namchukua kwa upole na unyenyekevu, na kumrudisha katika majani au sehemu salama ambayo haitampa nafasi ya kuelekea sehemu hatarini again kwa maisha yake kama barabarani, kwenye shimo, moto nk.
Jongoo ni wapole, hawatakiwi kuogopwa, bali kusaidiwa pale inapobidi.
Mleta mada inabidi afunzwe kutofautisha kati ya jongoo na nyoka.
Nahisi mleta mada anazungumzia haya majongoo yaliojificha ndan ya suruali zetu.Inategemea kuna jongoo jongoo na jongoo wa kutumwa😁😁
Kheee! kumbee?!Nahisi mleta mada anazungumzia haya majongoo yaliojificha ndan ya suruali zetu.
Hawa kweli wanasumu, ndio maana unaweza kukuta likimuuma mtu sawa sawa, basi alieumwa hukimbilia kuvimba tumboni. Na uvimbe wake hudumu kwa miezi tisa.
Usiombe likung'ate ukiwa haujajiandaa kwa ajili ya kupokea uvimbe. Utaomba dunia ipasuke 😂😂😂Kheee! kumbee?!
Vijana mnaobalehe kila kitu mnakihusisha na ngono tuNahisi mleta mada anazungumzia haya majongoo yaliojificha ndan ya suruali zetu.
Hawa kweli wanasumu, ndio maana unaweza kukuta likimuuma mtu sawa sawa, basi alieumwa hukimbilia kuvimba tumboni. Na uvimbe wake hudumu kwa miezi tisa.
Wapo chief dawa ni wao wenyewe unamchoma jivu lake unaweka alipokung'ataNaomba kujuzwa Kama kuna wadudu jongoo hawa Wanaong'ata na kusababisha madhara kwa sumu yao?
Kwahiyo wewe na utu uzima wako umeshindwa kung'amua kuwa jamaa ametumia fasihi kufikisha ujumbe wake?Vijana mnaobalehe kila kitu mnakihusisha na ngono tu
Aisee nimesoma tu hili jina nikajikuta nasisimka.Tandu labda
💩💩💩Kwahiyo wewe na utu uzima wako umeshindwa kung'amua kuwa jamaa ametumia fasihi kufikisha ujumbe wake?
Hivi unafikiri mleta mada hamjui jongoo wa kweli kama unavyofikiria?
Wakati mungine mtu anaweza kuanzisha mada inayohusu pili pili kichaa na wakati huo akiwa kamlenga mtu fulani. So wataalam wa fasihi huwa tunang'amua fasta na kutambaa kwa style ile ile ya fasihi fasihi kama alivyokusudia mletaji wa mada.