roadmaster
JF-Expert Member
- Mar 21, 2023
- 1,484
- 2,578
Am the victim of the situation aisee kifua Sana coughing kikohozi kikali
Mbona hujafa Sasa. Maana yule jamaa kamemoiga ndani ya masaa kadha chaliHili ni kwli kabsa....binafsi imenitokea
Enyi mliochanja tuliwaambia in 2-5 years lazima mfe na hizo chanjo za mabeberuWakuu, sijui kama mmegundua, kuna kaupepo ka Homa za ajabu ajabu kanaendelea mitaani na watu wanaumwa sio kidogo wengine wanadai hadi kupoteza ndugu wanaowajua kutokana na homa hizi lakini cha ajabu hakuna taarifa rasmi ya Serikali hata kutahadharisha tu.
Aisee tuchukue tahadhari wenyewe kabla hayajatukuta mambo ya 'Father Bernard'
Hii ni kweli hata mie napitia shida hiyoWakuu, sijui kama mmegundua, kuna kaupepo ka Homa za ajabu ajabu kanaendelea mitaani na watu wanaumwa sio kidogo wengine wanadai hadi kupoteza ndugu wanaowajua kutokana na homa hizi lakini cha ajabu hakuna taarifa rasmi ya Serikali hata kutahadharisha tu.
Aisee tuchukue tahadhari wenyewe kabla hayajatukuta mambo ya 'Father Bernard'
Usiseme hivyoKachero kaondoka kiboya
Mbona wengi wamepata chanjo na hatuko nao,Nendeni mkapate chanjo ya Corona muache kuishi kwa mashaka.
Kwa hiyo kamemuondoa BCMZakuambiwa unachanganya na za kwako kama ule usemi pendwa wa mzee wetu wa msoga, ni kweli kabisa naambiwa huko bongo kuna watu wanahisi ni kale kajamaa kalikomuondoa jiwe kwa ubishi na ushamba wake , chukueni tahadhari wana wa nchi
Kwa hiyo kamemuondoa BCM
Chawa wa Mama halafu hujachanja? Ajabu sanaEnyi mliochanja tuliwaambia in 2-5 years lazima mfe na hizo chanjo za mabeberu
Ndiyo sisi wengine ni chawa wajanja. Unataka nife, ule ulikuwa ujinga sana na Rais mwenyewe wala hakuchanja ni ujanja ujanja wa kutaka hela za mabeberu. Ukitaka kuona ulikuwa ujinga na upumbavu jiulize kwanini King wa Uingereza wakati anaapishwa kwanini hapakuwa na barakoa???? Yaani King Charles ana busiana na mwanae William, yaani wale ma askofu wa lile kanisa walikunywa mvinyo kwenye chombo kimoja. Yaani katika ujinga na upambavu ambao serikali ilifanya na kudharaurika duniani kote ni chanjo tena it was a retarded mind decision kabisa. Rais Dkt Samia yeye mwenyewe anajua ila alifanya kwa sababu ya mabeberu tuChawa wa Mama halafu hujachanja? Ajabu sana
Yaani ni kwelii!! Sisi familia nzima tumepigwa, mafua makali, homa Kali, kikohozii na mwili kuchookaaa!! Tunapona ila miili iko hovyooAisee basi tupo wengi, nimepigwa na mafua na homa kali zaidi ya wiki 3 Hadi Leo hii bado kichwa kinauma Tu ingawa mafua yamepona
Nimetumia kila Aina ya dawa za mafua lkn bado ilishindikana
Siyo kweli !! Usibishane na sayansi wewe ni mbumbumbu tu. Hata huo mfano wa Uingereza hauna uhusiano na mada inayojadiliwaNdiyo sisi wengine ni chawa wajanja. Unataka nife, ule ulikuwa ujinga sana na Rais mwenyewe wala hakuchanja ni ujanja ujanja wa kutaka hela za mabeberu. Ukitaka kuona ulikuwa ujinga na upumbavu jiulize kwanini King wa Uingereza wakati anaapishwa kwanini hapakuwa na barakoa???? Yaani King Charles ana busiana na mwanae William, yaani wale ma askofu wa lile kanisa walikunywa mvinyo kwenye chombo kimoja. Yaani katika ujinga na upambavu ambao serikali ilifanya na kudharaurika duniani kote ni chanjo tena it was a retarded mind decision kabisa. Rais Dkt Samia yeye mwenyewe anajua ila alifanya kwa sababu ya mabeberu tu