Yaani nafatilia nipate jibu,lakini naona mizaha tu...wanafikiri wote tupo Tanzania.Kazi sana!Hapa ndo utaona sisi watanzania tunapenda mizaa sana ( utani) mtu anauliza swala zuri tu lakini watu wanajibu tu wanavyojisikia kwani mkitulia tusubiri wenye kuwa na majibu sahihi kuna ubaya?
hahahaha....Watakuwa TCRA Labda...Wanatukumbusha.
Hapa ndo utaona sisi watanzania tunapenda mizaa sana ( utani) mtu anauliza swala zuri tu lakini watu wanajibu tu wanavyojisikia kwani mkitulia tusubiri wenye kuwa na majibu sahihi kuna ubaya?
Hahahaha. ...Kwamba leo watazima simu..Watakuwa TCRA Labda...Wanatukumbusha.
Inasema Jenerali Ulimwengu ni mwongo
Daaah....Zito kaamuwa kachambua budget angani nina hofu tu na kile kilichofungwa kwenye lile tambaa kwa chini ni kitu kizito sana.
Kwikwukwikwi....Style mpya ya Rais kuongea na wazee wa Darisalamu.
Hapa ndo utaona sisi watanzania tunapenda mizaa sana ( utani) mtu anauliza swala zuri tu lakini watu wanajibu tu wanavyojisikia kwani mkitulia tusubiri wenye kuwa na majibu sahihi kuna ubaya?