Kuna helicopter inazurura mjini imebeba bango!

hv helicopter inatumiaje mafuta? How many km kwa litre? Nataka nijikunje ninunue,kama ni kama T.i
 
Hii thread ni mfano mzur wa kujiuliza kama huu UHURU WA KUJIELEZA NA KUPATA HABARI tunaoutaka????
 
Asilimia kubwa ya majibu yamejaa mizaha na utoto mwingi, kwny media za wanaoendelea zimejaa udadisi, challenges na solutions, watu wapo serious, hapa viwanda haviwezi simama kwa aina hii ya watu, #aliyetuloga kweli alituweza
 
Asilimia kubwa ya majibu yamejaa mizaha na utoto mwingi, kwny media za wanaoendelea zimejaa udadisi, challenges na solutions, watu wapo serious, hapa viwanda haviwezi simama kwa aina hii ya watu, #aliyetuloga kweli alituweza
Kwa iyo ulitakeje mkuu?? Maisha hayataki hasira,majukwaa ya watu kuwa serious yapo! Kwa iyo ungesema aliyekuloga wewe amekuweza!
 
Asilimia kubwa ya majibu yamejaa mizaha na utoto mwingi, kwny media za wanaoendelea zimejaa udadisi, challenges na solutions, watu wapo serious, hapa viwanda haviwezi simama kwa aina hii ya watu, #aliyetuloga kweli alituweza
Kwa iyo ulitakeje mkuu?? Maisha hayataki hasira,majukwaa ya watu kuwa serious yapo! Kwa iyo ungesema aliyekuloga wewe amekuweza!
 
Back
Top Bottom