- Thread starter
- #61
huwa hamkosekani design zenu. Wasifia mpaka ushuzi kwa kisingizio cha mahaba.Wewe ndio unahangaika na Urais wake,sasa asionyeshe hisia kwani amekuwa Jiwe au gogo kavu?
huwa hamkosekani design zenu. Wasifia mpaka ushuzi kwa kisingizio cha mahaba.Wewe ndio unahangaika na Urais wake,sasa asionyeshe hisia kwani amekuwa Jiwe au gogo kavu?
HATA CHADEMA WAKIPEWA NCHI NA HII KATIBA YA SASA HAWATAIBADILISHA. WAIBADILISHE ILI HIYO MPYA IWAONDOE HARAKA MADARAKANI??Nimekuelewa sana huyu maza hataki kitu kinaitwa katiba mpya
Kumbe lengo ni madaraka kwa CCM?H
HATA CHADEMA WAKIPEWA NCHI NA HII KATIBA YA SASA HAWATAIBADILISHA. WAIBADILISHE ILI HIYO MPYA IWAONDOE HARAKA MADARAKANI??
Aliyeanzisha ukabila ndiye huyo mtu wa mavi,kosa halirekebishi kosa ndugu. Topic ni Samia Suluhu Hassan na sio aliyesema mambo ya mavi.
ujeuri na kiburi ni hulka ya mtu, haihusiani na kabila wa mtu.Aliyeanzisha ukabila ndiye huyo mtu wa mavi,
Wahutu wanajulikana kitabia.ujeuri na kiburi ni hulka ya mtu, haihusiani na kabila wa mtu.
Hakuna kiongozi tangu bongo hii iundwe Kama SSHUmemtupa Lissu siku hizi kutwa kuchwa na SSH?
Kumbe umekaa kishari. Haya jioni njema NduguUsilete za kuleta!
Kana tamaa na uongozi sijapata kuonaUkigusa tu katiba mpya anapandwa na hasira sana
Mkuu hii clip haikuendelea sana lkn kama hivi ndivyo alivyo Kikeke kuna taabu kwenye mbinu za mahojiano.Hapana, tuna haja ya kua na waandishi kama Kikeke...
Ni dhahiri Rais amekomaa kuongea na Press. Nampongeza sana kwa alivyochomoa kuingia kwenye mtego wa ahadi hewa. Naye Kikeke alijipanga kufanya interview ambayo ingemfagilia sana kama Tim Sebastian alivyomhoji Benjamin Mkapa enzi zile za Tim Sebastian.Nimeangalia clip kadhaa Mama akiwa aidha anaongea ama anahojiwa, kuna hali anakuwa nayo anapojibu maswali ya kuonyesha kutoweza kudhibiti hisia zake.
Kama kiongozi anapaswa kuwa na busara ya kujua 'tone' ya sauti yake tu inaweza leta tafsiri tofauti.
Huwa anatoa majibu kama vile ana ugomvi binafsi na anaemuuliza.
Kuna zile kauli kama vile "anasutana na mtu", kitu ambacho hakileti tafsiri nzuri.
Kuwa kwake raisi sio siri tena, wote tunajua hivyo hana sababu ya kutumia kila nafasi kuonyesha kuwa yeye ni raisi, hii inaleta tafsiri moja tu; kuwa hajiamini.
Wale watu wa Political Manners and Etiquettes wanapaswa wamuweke chini na kumfundisha jinsi ya kujiconduct in public.
Inapaswa ajue kuwa kama Raisi, hisia zake binafsi sio hisia za kila mtu.
Shari Awamu ya 6 tena?Kumbe umekaa kishari. Haya jioni njema Ndugu
Yule kichaa aliepita alichaguliwa na nani zaidi ya kuiba kura?!Hakugombea Wala kuchanguliwa na Wala hakujiandaa kuwa Rais
Nimeangalia clip kadhaa Mama akiwa aidha anaongea ama anahojiwa, kuna hali anakuwa nayo anapojibu maswali ya kuonyesha kutoweza kudhibiti hisia zake.
Kama kiongozi anapaswa kuwa na busara ya kujua 'tone' ya sauti yake tu inaweza leta tafsiri tofauti.
Huwa anatoa majibu kama vile ana ugomvi binafsi na anaemuuliza.
Kuna zile kauli kama vile "anasutana na mtu", kitu ambacho hakileti tafsiri nzuri.
Kuwa kwake raisi sio siri tena, wote tunajua hivyo hana sababu ya kutumia kila nafasi kuonyesha kuwa yeye ni raisi, hii inaleta tafsiri moja tu; kuwa hajiamini.
Wale watu wa Political Manners and Etiquettes wanapaswa wamuweke chini na kumfundisha jinsi ya kujiconduct in public.
Inapaswa ajue kuwa kama Raisi, hisia zake binafsi sio hisia za kila mtu.