Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Baada ya ingizo lake tu matundu yaliyokuwa yametobokatoboka aliweza kuyaziba ipasavyo na kupelekea Simba kuwa imara kabla ya ingizo lake.
Unaenda na Kanute unamuacha Fabrice Ngoma?Mpaka sasa sioni haja yoyote ya mzamiru said selemba kuanzia nje.
Kanoute na ngoma ni viungo ambao hawana attributes za kukaba na hata kwenye 1 v 1 sio wazuri uki compare na mzamiru.
Ila binafsi kanoute na ngoma naenda na kanoute kwasababu yupo sharp na mwepesi.
Mzamiru yuko vizuri sana both offensive na defensive,hiki kitu ndicho kimewasaidia sana simba jana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni shabiki wa mpira..na nazungumzia mpira sio mahaba.Unaenda na Kanute unamuacha Fabrice Ngoma?
Wewe ni mshabiki wa Simba?
Mimi ni shabiki wa mpira..na nazungumzia mpira sio mahaba.
Mbeleni utanielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app