Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Wana ndugu embu tusaidiane kwa hili
kuna watu wengi wanapoteza haki zao bila kujua
kama mnavyojua kuna wanaume wengi wanaoa kwa malengo fulani labda mwenzio ana pesa zaidi yake sasa mwingine anafikiri kwa sababu ya ndoa anaweza kula kona na kutarajia nusu mali...sasa kwa wenye kujua sheria za ndoa za kugawana mali embu tuwasaidie wengine hil jamani
jumamosi njema
kuna watu wengi wanapoteza haki zao bila kujua
kama mnavyojua kuna wanaume wengi wanaoa kwa malengo fulani labda mwenzio ana pesa zaidi yake sasa mwingine anafikiri kwa sababu ya ndoa anaweza kula kona na kutarajia nusu mali...sasa kwa wenye kujua sheria za ndoa za kugawana mali embu tuwasaidie wengine hil jamani
jumamosi njema