Kuna haja gani bomba la gesi kujegwa kutoka mtwara kuja dar?

tofauti nayojua mimi kati ya gas na oil ni combustion efficiency na physical form (one liquid while another gas) itokanayo na CH ratio! Lakini on economic sense pipeline ya oil inaweza kutumika kupitishia gas ndo maana nimetumia mfano huo! na pia on compression gas inaweza kuwa liquefied! Mjaribu kujiuliza kwanini mtu anafananisha the two jibu ni kwa vile logistics zake zinafanana
Nakuewa sana ulichozungumza na ndio maana nilisahihisha usemi wako kwamba bomba lilokwisha jengwa ni la Mafuta sio gas na halijawahi kutumika kupitishia gas, ila bomba la gas linategemewa kujengwa. Na hata hilo la Mafuta ni miles 800 ambazo hazitoki nje ya Alaska. ila ni kutoka machimboni kwenda pande mbili za ufukeni ambako mafuta hayo husafirishwa kwa meli. Hizo Miles 800 za bomba ziko within Alaska..

Halafu nikasema sababu za ujenzi wa bomba la gas ni kutokana na matumizi nchini Marekani tofauti kabisa na sababu tunazojenga sisi bomba la gas kutoka Mtwara kwenda Dar. Kutojenga bomba hilo ambalo linagharimu billions tungeweza kabisakununua mtambo mkubwa wa kuzalisha umeme pengine kutosheleza nchi nzima na umeme ukazalishwa Mtwara na kuunganishwa ktk grid ya taifa.

Na kama ya ujenzi wa bomba hili ni matumizi ya gas kwa wananchi majumbani (kama US) basi ingetakiwa ujenzi wa njia za kupitishia gas hiyo kwenda majumbani mwa watu mikoa yote kama unavyoona umeme (kuwepo na market ya kutosha kwanza) Halafu bomba hili ndio linakuwa kama grid ya taifa ktk usambazaji, hivyo bomba linapojengwa kutoka Mtwara hadi Mwanza kupitia Dar kwa malengo ya usambazaji wa Gas mikoani.

Kifupi mkuu wangu hatuna sababu ya maana kiuchumi kujenga bomba la gas kutoka Mtwara hadi dar wakati vyanzo hivyo vingeweza kabisa kuzalisha Umeme tokea Mtwara. Fikra hizi ndizo chanzo cha wananchi kuanza kudai Majimbo ama maendeleo mikoani kwa sababu gas hiyo inazinuaisha mikoa mingine wakati Mtwara wakizidi kudidimia.
 
Nakuewa sana ulichozungumza na ndio maana nilisahihisha usemi wako kwamba bomba lilokwisha jengwa ni la Mafuta sio gas na halijawahi kutumika kupitishia gas, ila bomba la gas linategemewa kujengwa. Na hata hilo la Mafuta ni miles 800 ambazo hazitoki nje ya Alaska. ila ni kutoka machimboni kwenda pande mbili za ufukeni ambako mafuta hayo husafirishwa kwa meli. Hizo Miles 800 za bomba ziko within Alaska..

Halafu nikasema sababu za ujenzi wa bomba la gas ni kutokana na matumizi nchini Marekani tofauti kabisa na sababu tunazojenga sisi bomba la gas kutoka Mtwara kwenda Dar. Kutojenga bomba hilo ambalo linagharimu billions tungeweza kabisakununua mtambo mkubwa wa kuzalisha umeme pengine kutosheleza nchi nzima na umeme ukazalishwa Mtwara na kuunganishwa ktk grid ya taifa.

Na kama ya ujenzi wa bomba hili ni matumizi ya gas kwa wananchi majumbani (kama US) basi ingetakiwa ujenzi wa njia za kupitishia gas hiyo kwenda majumbani mwa watu mikoa yote kama unavyoona umeme (kuwepo na market ya kutosha kwanza) Halafu bomba hili ndio linakuwa kama grid ya taifa ktk usambazaji, hivyo bomba linapojengwa kutoka Mtwara hadi Mwanza kupitia Dar kwa malengo ya usambazaji wa Gas mikoani.

Kifupi mkuu wangu hatuna sababu ya maana kiuchumi kujenga bomba la gas kutoka Mtwara hadi dar wakati vyanzo hivyo vingeweza kabisa kuzalisha Umeme tokea Mtwara. Fikra hizi ndizo chanzo cha wananchi kuanza kudai Majimbo ama maendeleo mikoani kwa sababu gas hiyo inazinuaisha mikoa mingine wakati Mtwara wakizidi kudidimia.

Hapo umenena, wengi hawakumuelewa mtoa mada! Inshort alitaka kujua kwanini umeme usizalishwe mtwara kwa kutumia gesi?
Hizo bilioni zingetosha kabisa kuweka kinu cha maana kule mtwara na ku uunganisha kwenye grid ya taifa.
Tuna omba mawazo yakitaaluma kwanini umeme ufuliwe dar na sio mtwara?

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Nakuewa sana ulichozungumza na ndio maana nilisahihisha usemi wako kwamba bomba lilokwisha jengwa ni la Mafuta sio gas na halijawahi kutumika kupitishia gas, ila bomba la gas linategemewa kujengwa. Na hata hilo la Mafuta ni miles 800 ambazo hazitoki nje ya Alaska. ila ni kutoka machimboni kwenda pande mbili za ufukeni ambako mafuta hayo husafirishwa kwa meli. Hizo Miles 800 za bomba ziko within Alaska..

Halafu nikasema sababu za ujenzi wa bomba la gas ni kutokana na matumizi nchini Marekani tofauti kabisa na sababu tunazojenga sisi bomba la gas kutoka Mtwara kwenda Dar. Kutojenga bomba hilo ambalo linagharimu billions tungeweza kabisakununua mtambo mkubwa wa kuzalisha umeme pengine kutosheleza nchi nzima na umeme ukazalishwa Mtwara na kuunganishwa ktk grid ya taifa.

Na kama ya ujenzi wa bomba hili ni matumizi ya gas kwa wananchi majumbani (kama US) basi ingetakiwa ujenzi wa njia za kupitishia gas hiyo kwenda majumbani mwa watu mikoa yote kama unavyoona umeme (kuwepo na market ya kutosha kwanza) Halafu bomba hili ndio linakuwa kama grid ya taifa ktk usambazaji, hivyo bomba linapojengwa kutoka Mtwara hadi Mwanza kupitia Dar kwa malengo ya usambazaji wa Gas mikoani.

Kifupi mkuu wangu hatuna sababu ya maana kiuchumi kujenga bomba la gas kutoka Mtwara hadi dar wakati vyanzo hivyo vingeweza kabisa kuzalisha Umeme tokea Mtwara. Fikra hizi ndizo chanzo cha wananchi kuanza kudai Majimbo ama maendeleo mikoani kwa sababu gas hiyo inazinuaisha mikoa mingine wakati Mtwara wakizidi kudidimia.

BTW kukurekebisha tu hiyo Trans-Alaska pipeline ingeweza kwenda straight mpaka US kama Canada isingekuwapo katikati maana kiukweli kupitisha bomba katika nchi nyingine means paying tarrifs na nadhani waliona haiko viable ni cheaper kutumia tankers toka Valdez. Na isitoshe hiyo pipeline si kama pipeline nyingine ina-apply a very advanced technology ku-avoid freezing of that oil maana ikumbukwe alaska ni minus degree always sasa based on economic viability, the Americans had to avoid traversing across Canada considering the oil is mainly for commercial use in the US!

Tukirudi swala la Mtwara, naomba nikuulize; kwa uwelewa wako unafikiri kwa population iliyopo Mtwara na income per capita yake unadhani wanaweza ku-absorb matumizi yote ya gas? hebu tuwe wakweli tuache politics Dar ni move convinient kwa any viable business kwa vile over 50% ya uchumi wa Tanzania unatoka Dar na pia shughuli zote za kiserikali zipo Dar! Matumizi ya gas mbali na kutumia majumbani pia hutumika kwenye viwanda vya uzalishaji (ambavyo vingi viko Dar) na pia kwenye kutengeza mbolea, plastics (ambazo vingi ya viwanda vipo Dar) na matibabu pia (kuna aina ya gas (methanol anti-freezing agent) hutengenezwa from natural gas)! Sasa unasema uwo umeme utengenezwe Mtwara halafu usafirishwe mpaka dar unajua the longer the electricity is transported the higher is the probability of being lost! Sasa kama tunaweza ku-avoid umeme uwo ukatengenezewa Dar ambapo tayari miundombinu ipo, why tu-complicate issues? Na isitoshe huwezi ukabadili mfumo mzima wa uzalishaji umeme kisa Mtwara kagundua gas, what if kesho kutwa Kigoma anagundua mafuta? Mimi ninachoshauri ni kuwa Mtwara walilie fair revenues ya gas hiyo itakayouzwa ile kujikwamua kiuchumi kuanzia na kutoa basic needs kama elimu (vyuo vijengwe), afya na pia makazi bora na hata kuwa na bandari bora (ikumbukwe BG na Statoil wako mbioni kujenga LNG plant for overseas export all that in the name of value addition siwezi shangaa ukisema unapinga na hili mpaka Tanzania nzima iweze kutumia gas! Mimi nashauri tu mikataba itakayosainishwa isiwe ya kijuha tupate revenue za kufa mtu) na railway nzuri maana kiukweli Mtwara haiwezi ika-absorb that huge magnitude of investment unayosema na economic-wise kusubiri ili kuanza kujenga grid na kuanza kujenga vinu vya kuzalisha umeme ni kupoteza fursa (kumbuka inflation iko 19% na haiwezi ngoja muda woote huo) na kama magenereta yapo Dar tayari kwanini hiyo gas isiletwe ikayageuza kuwa gas driven generators?
 
BTW kukurekebisha tu hiyo Trans-Alaska pipeline ingeweza kwenda straight mpaka US kama Canada isingekuwapo katikati maana kiukweli kupitisha bomba katika nchi nyingine means paying tarrifs na nadhani waliona haiko viable ni cheaper kutumia tankers toka Valdez. Na isitoshe hiyo pipeline si kama pipeline nyingine ina-apply a very advanced technology ku-avoid freezing of that oil maana ikumbukwe alaska ni always minus degree sasa based on economi viability the Americans had to avoid traversing over Canada considering the oil is mainly for commercial use in the US!

Tukirudi swala la Mtwara, naomba nikuulize; kwa uwelewa wako unafikiri kwa population iliyopo Mtwara na income per capita yake unadhani wanaweza ku-absorb matumizi yote ya gas? hebu tuwe wakweli tuache politics Dar ni move convinient kwa any viable business kwa vile over 50% ya uchumi wa Tanzania unatoka Dar na pia shughuli zote za kiserikali zipo Dar! Matumizi ya gas mbali na kutumia majumbani pia hutumika kwenye viwanda vya uzalishaji (ambavyo vingi viko Dar) na pia kwenye kutengeza mbolea, plastics (ambazo vingi ya viwanda vipo Dar) na matibabu pia (kuna aina ya gas hutengenezwa from natural gas)! Sasa unasema uwo umeme utengenezwe Mtwara halafu usafirishwe mpaka dar unajua the longer the electricity is transported the higher is the probability of being lost! Sasa kama tunaweza ku-avoid umeme uwo ukatengenezewa Dar ambapo tayari miundombinu ipo, why tu-complicate issues? Na isitoshe huwezi ukabadili mfumo mzima wa uzalishaji umeme kisa Mtwara kagundua gas, what if kesho kutwa Kigoma anagundua mafuta? Mimi ninachoshauri ni kuwa Mtwara walilie fair revenues ya gas hiyo itakayouzwa ile kujikwamua kiuchumi kuanzia na kutoa basic needs kama elimu (vyuo vijengwe), afya na pia makazi bora na hata kuwa na bandari bora (ikumbukwe BG na Statoil wako mbioni kujenga LNG plant for overseas export all that in the name of value addition siwezi shangaa ukisema unapinga na hili mpaka Tanzania nzima iweze kutumia gas! Mimi nashauri tu mikataba itakayosainishwa isiwe ya kijuha tupate revenue za kufa mtu) na railway nzuri maana kiukweli Mtwara haiwezi ika-absorb that huge magnitude of investment unayosema na economic-wise kusubiri ili kuanza kujenga grid na kuanza kujenga vinu vya kuzalisha umeme ni kupoteza fursa (kumbuka inflation iko 19% na haiwezi ngoja muda woote huo) na kama magenereta yapo Dar tayari kwanini hiyo gas isiletwe ikayageuza kuwa gas driven generators?

Point yako ni valid ukiangalia juu ila nchi nying duniani (south afrika makaa ya mawe, sudan, misri na hata tanzania) umeme umekuwa ukizalishwa at source sio kupeleka mijini. Wengine kule bara la ulaya wana import umewe. Hilo swala la losses sio kweli south africa wao losses ni less than 19% country wide. Hata sisi tunaweza
Vinu vya umeme kwa kutumia gas ni easy kuinstal (google utaona) havichukui mda.
Hapa sikatai gesi kupelekwa dar ila vitu kama umeme visizalishwe dar.

Kuna madini huko lindi (gypsum) kama miundo mbinu aka umeme ingekuwa umepita pale viwanda vingi vingekuwa vimejengwa vinaingiza pato kwenye taifa na kupunguza unnecessary imports.

Ili nchi iendelee tunahitaji zaidi ya dar es salaam tano. Kama tutaendelea kuitegemea dar es salaam hii tunatwanga maji kwenye kinu.
Inabidi kubadili fikra zetu vitu muhimu kwa maendeleo ya nchi ni umeme, reli, barabara, bandari na viwanda. Tusijenge hivi vitu kwa ajili ya dar ila kwa taifa zima.


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Point yako ni valid ukiangalia juu ila nchi nying duniani (south afrika makaa ya mawe, sudan, misri na hata tanzania) umeme umekuwa ukizalishwa at source sio kupeleka mijini. Wengine kule bara la ulaya wana import umewe. Hilo swala la losses sio kweli south africa wao losses ni less than 19% country wide. Hata sisi tunaweza
Vinu vya umeme kwa kutumia gas ni easy kuinstal (google utaona) havichukui mda.
Hapa sikatai gesi kupelekwa dar ila vitu kama umeme visizalishwe dar.

Kuna madini huko lindi (gypsum) kama miundo mbinu aka umeme ingekuwa umepita pale viwanda vingi vingekuwa vimejengwa vinaingiza pato kwenye taifa na kupunguza unnecessary imports.

Ili nchi iendelee tunahitaji zaidi ya dar es salaam tano. Kama tutaendelea kuitegemea dar es salaam hii tunatwanga maji kwenye kinu.
Inabidi kubadili fikra zetu vitu muhimu kwa maendeleo ya nchi ni umeme, reli, barabara, bandari na viwanda. Tusijenge hivi vitu kwa ajili ya dar ila kwa taifa zima.


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Nathani umesahau Artumas wamezalisha umeme 12.5 MW na hiyo migodi unayosema (kama ipo) imeshindwa kuutumia huo umeme wote matokeo yake wanaomba kila siku misamaha ya kodi! Tuache umimi kwenye biashara kama ugunduzi wa gesi ungekuwa Mwanza au sehemu yoyote Lake Victoria nathani ningekuwa wakwanza kukuunga mkono kwa vile tayari kule kuna migodi, viwanda, uvuvi na watu (zaidi ya 15mio. tukiacha ukaribu na Kisumu, Kampala, Kigali na Bujumbura ambayo yote ni soko ukilinganisha na Northern Mozambique hamna kitu kule) wa kuweza ku-sustain investment ya uzalishaji umeme mkubwa unaopigia debe! Isitoshe hamna mwekezaji binafsi anaweza ingia mkenge kuzalishia umeme Mtwara kwa wakati huu pasipo na soko na ukiangalia umbali kutoka kulipo mahitaji ya umeme huo!
 
Back
Top Bottom