huwa najiuliza sana kuna haja gani bomba la kusafirisha gesi kutoka mtwara lijengwe mpaka dar na kutumia gharama kubwa na kutengeneza hatar nyingi. kwann kinachokuja kufanyika dar kisifanyikie huku huko mtwara na hvy kuijenga mtwara na kuokoa fedha nying za kusambaza pipe za kusafishia.tumezoea kurundika kila kitu dar