Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,446
Habari zenu wanajamvi...nashindwa kumuelewa huyu mpenz wangu ni yule mtu ambaye ikitokea mmekorofishana atakuongelea maneno machafu sana yan hauamin kama yametoka katk kinywa chake,ivi karibuni umetokea ugomvi kidogo amenitamkia maneno ambayo kila nikimuona napatwa na hasira sana anajidai kuomba msamaha,je huyu n mtu naeweza kuishi nae kwa amani pindi tutakapofunga ndoa?
Acha nae usipoteze muda wako tafuta mwingine azibe pengo lake.