Naandika ili wanajamii nikiwa na maswali tele kichwani ya nini cha kujivunia kwa mimi kuitwa mtanzania?nimeona nitumie jamvi hili ili ndugu muweze kunisaidia kujibu baadhi ya maswali yanayonitatiza.matatizo mengi yanayotukabili watanzania wengi wa kipato cha chini na chakati ni ya kijamii(social problems),sasa basi naomba mnijuze wajuzi wa hili ni social benefit zipi za kujivunia kwa mimi mtanzania? Au ule msemo wa vijana waliokata tamaa za kuishi tanzania is valid? Yaani..."better born dog in europe than being born in tanzania?"....nisaidieni wajuzi!