Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,417
- 11,068
Jamani hali ni mbaya sana, watu wanajua kuhesabu lakini kusoma na kuandika ni utapia kichwa, utapia ujinga unaangamiza taifa nyakati za sasa katika uga wa mawasiliano kwa njia ya maandishi, sms, chats etc.
Sijui labda ni mimi tu naliona hili. Uandishi mbovu na makosa ya herufi sahihi kwenye maneno.
Mungu aingilie kati hili anguko, naogopa sana tuko tuendako.
Ni hayo tu.
Wadiz
Sijui labda ni mimi tu naliona hili. Uandishi mbovu na makosa ya herufi sahihi kwenye maneno.
Mungu aingilie kati hili anguko, naogopa sana tuko tuendako.
Ni hayo tu.
Wadiz