""""nenda chumbani ,funga mlango ,mwombe baba wa mbingu aliye sirini naye atakusikia"""
serikali inapokataza mikusanyiko isiyo halali inajaribu kuepusha mabaya ambayo yangejitokeza kwa sababu :
1.hapo mnapotaka kukusanyikia ni salama kweli?
2.je idadi ya watu watakaokuja hapo kwenye maombi inajulikana na kundi hilo litakuwa na usalama kwa kigeographia?maana yanaweza kutokea maafa makubwa kutokana na kutokupata hewa ya kutosha
3.watu watakuwa na emotions nyingi,wanaweza kudondoka chini na kufa kabisa
4.hao wabaya wa lissu hawajatiwa nguvuni,hivi wakiwavamia mkiwa kwenye kusanyiko lenu na kuanza kuwaua mtasema serikali haijatulinda?
nenda chumbani ,funga mlango ,mwombe baba wa mbingu aliye sirini naye atakusikia"""
serikali inapokataza mikusanyiko isiyo halali inajaribu kuepusha mabaya ambayo yangejitokeza kwa sababu :
1.hapo mnapotaka kukusanyikia ni salama kweli?
2.je idadi ya watu watakaokuja hapo kwenye maombi inajulikana na kundi hilo litakuwa na usalama kwa kigeographia?maana yanaweza kutokea maafa makubwa kutokana na kutokupata hewa ya kutosha
3.watu watakuwa na emotions nyingi,wanaweza kudondoka chini na kufa kabisa
4.hao wabaya wa lissu hawajatiwa nguvuni,hivi wakiwavamia mkiwa kwenye kusanyiko lenu na kuanza kuwaua mtasema serikali haijatulinda?
nenda chumbani ,funga mlango ,mwombe baba wa mbingu aliye sirini naye atakusikia"""