Kilahunja
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 1,502
- 341
Niaje wadau, mapenz yako tofaut, vionjo vikiwa tofaut kila siku unakuwa mpya kwa mpenz wako, sio mbaya nisaidien yafuatayo, KAMA WEWE NI:
A)MWANAUME..vitu gan au mambo yap unapenda mpenzio akufanyie au hata ukimuona tu anakupa hamasa au hisia za kimahaba.
B)MWANAMKE, mitego ipi ukimfanyia mpenzio una mbamba, sio lazima kitandan/chumban hata katika mazingira ya kawaida, jamaa anajisikia shauku?
NB: NI KATIKA KUONGEZEANA MAUJANJA.
A)MWANAUME..vitu gan au mambo yap unapenda mpenzio akufanyie au hata ukimuona tu anakupa hamasa au hisia za kimahaba.
B)MWANAMKE, mitego ipi ukimfanyia mpenzio una mbamba, sio lazima kitandan/chumban hata katika mazingira ya kawaida, jamaa anajisikia shauku?
NB: NI KATIKA KUONGEZEANA MAUJANJA.