Kumnyonya mwanamke matiti ni Tiba/Dawa ya Saratani ya matiti?

Mwinjilist mtume nabii

JF-Expert Member
Feb 21, 2015
2,437
1,097
Kuna habari zinaenezwa katika mitandao na magroup ya WhatsApp, kwamba kumnyonya mwanamke au mke wako Mara kwa Mara kutamsaidia kutopata ugonjwa wa saratani ya matiti.

Nikiwa kama Mtumishi wa Mungu ningependa kusema kuwa "Huo ni uzushi na ni mpango wa kuzimu katika kuongeza wimbi la ukahaba".

Kwasababu kama kunyonya wapo waume waaliozoea kuwanyonya wake zao kama sehemu ya mapenzi, lakini pia wazee wa zamani walikuwa hawawanyonyi wake zao na wala hakukuwa na huo ugonjwa.

Naweza kusema kama ulikuwa umezoea kumnyonya mke wako kama sehemu ya mapenzi unaweza kuendelea, isipokuwa ni makosa kumnyonya mkeo kwa imani iyo kwamba unamsaidia asipate ugonjwa wa saratani.

Nawatakia ndoa na familia njema katika Jina la Yesu Kristo.
 
Mtasababisha watu wawanyonyeshe hadi watu wasio wajua iwe kwa malipo au free! Hamtujui wabongo kwa kujifanya kuzilinda afya zetu?
 
Mi km sijakuelewa....kwani ww ndo uliyesambaza ile taarifa?why uje kusema ni uongo.....acha watu wai enjoy boobs madheee...unaogopa kunyonywa nn mtumishi?hiyo kazi inafanywa ktk mahaba wala hutasikia maumivu....unahakika km wazee wa zamani walikuwa hawanyonyi?
 
Kuna habari zinaenezwa ktk mitandao na magroup ya whatsap, kwamba kumnyonya mwanamke au mke wako Mara kwa Mara kutamsaidia kutopata ugonjwa wa saratani ya matiti.

Nikiwa kama Mtumishi wa Mungu ningependa kutoa taarifa kuwa ""huo ni uzushi na ni mpango wa kuzimu ktk kuongeza wimbi LA ukahaba.

Kwaabb kama kunyonya wapo waume waaliozoea kuwanyonya wake zao kama sehemu ya mapnz, lakn pia wazee wa zamani walikua hawawanyonyi wake zao na wala hakukuwa na huo ugonjwa.

Naweza kusema kama ulikuwa umezoea kumnyonya mke wako km sehemu ya mapnz unaweza kuendelea, isipokuwa
NI MAKOSA KUNYONYA MKEO KWA IMANI IYO KWAMBA UNAMSAIDIA ACPATE UGONJWA WA SARATANI

Nawatakia ndoa na familia njema ktk Jina LA Yesu Kristo.
Mimi ni daktari na naisuport sana hyo kitu ndo maana tunaroa ushauri kwa mama kumnyonyesha mtoto wake kwa at least mwaka mmoja
Kama kuna swali nakaribisha
NA KAMA UNASEMA HAKUNA THESIS ZILIFANYIKA TUKAZISOMA NJOO NIIONYESHE USHAIDI WA KUPINGA KWAKO UKITUMIA HATA HYO MAANDIKO MATAKATIFU KWASABABU KOTE MIMI NIKO SAWA
 
MTU hujaelewa hapa..... Kitendo cha kukubali dhana kuwa ukiwa unanyonya maziwa ya mwanamke eti kuwa unampunguzia au unamuepusha Saratani basis huku ni kuabudu sanamu ni sawa na kuvunja amri ya kwanza kidini... Usiseme hujui iko HV sanamu sio lazima kitu kilichochingwa Bali hata kuhamisha imani yako kwa Mungu na kuiweka kwenye hali ambayo siyo ya kiMungu.

Kitendo cha kuamin na kufanya hv tayari unakiri ya kuwa hili jambo ni uokozi Wa mkeo hivyo unatoa imani yako kwa Mungu Wa kweli na kwa Kristo mponyaji unaipeleka kwa hisia za kiimani za kisayansi na hapa ni sawa na kumshusha thamani Mungu anayekurinda na kukutimizia shida zako ukimuomba.

Ndio maana Mtumishi anasema kama ni mpnz tu kwa mkeo basis uwe na imani kwamba unafanya kama sehemu ya mpnz tu kwa mkeo lakin usiamini kuwa unafanya kwa ajiri ya matibabu. Naungana naye kwa Mimi na wewe tujiulize swali hili.

Ikiwa kile kitendo ni kumfanya mwanamke asipate saratani basi ukiwa unamnyonya ujue wewe unayenyonya utakuwa unanyonya ugonywa kama sio ili isiwepo lazima kuwe na antitodi ya kuponesha kama ni mdomo tu je utawezaje kuleta uponyaji au uepushaji Wa saratani hiyo?
 
Kuwa na masikio basis usikie na kuwa na macho uone Mungu akusaidie kufungua akili yako uelewe ili uepusha ghadhabu hii Kali ya Mungu juu yako eewee unayeamin.
 
Hii kitu ni kweli Mkuu hata kuyanyonya matiti wakati wa kufanya mapenzi pia inasaidia kupunguza uwezekano wa kupata cancer ya matiti.

Mimi ni daktari na naisuport sana hyo kitu ndo maana tunaroa ushauri kwa mama kumnyonyesha mtoto wake kwa at least mwaka mmoja
Kama kuna swali nakaribisha
NA KAMA UNASEMA HAKUNA THESIS ZILIFANYIKA TUKAZISOMA NJOO NIIONYESHE USHAIDI WA KUPINGA KWAKO UKITUMIA HATA HYO MAANDIKO MATAKATIFU KWASABABU KOTE MIMI NIKO SAWA
 
MTU hujaelewa hapa..... Kitendo cha kukubali dhana kuwa ukiwa unanyonya maziwa ya mwanamke eti kuwa unampunguzia au unamuepusha Saratani basis huku ni kuabudu sanamu ni sawa na kuvunja amri ya kwanza kidini... Usiseme hujui iko HV sanamu sio lazima kitu kilichochingwa Bali hata kuhamisha imani yako kwa Mungu na kuiweka kwenye hali ambayo siyo ya kiMungu. Kitendo cha kuamin na kufanya hv tayari unakiri ya kuwa hili jambo ni uokozi Wa mkeo hivyo unatoa imani yako kwa Mungu Wa kweli na kwa Kristo mponyaji unaipeleka kwa hisia za kiimani za kisayansi na hapa ni sawa na kumshusha thamani Mungu anayekurinda na kukutimizia shida zako ukimuomba. Ndio maana Mtumishi anasema kama ni mpnz tu kwa mkeo basis uwe na imani kwamba unafanya kama sehemu ya mpnz tu kwa mkeo lakin usiamini kuwa unafanya kwa ajiri ya matibabu. Naungana naye kwa Mimi na wewe tujiulize swali hili. Ikiwa kile kitendo ni kumfanya mwanamke asipate saratani basi ukiwa unamnyonya ujue wewe unayenyonya utakuwa unanyonya ugonywa kama sio ili isiwepo lazima kuwe na antitodi ya kuponesha kama ni mdomo tu je utawezaje kuleta uponyaji au uepushaji Wa saratani hiyo?
Nashukuru sana mkuu kwa ufafanuzi mzuri, na kama ww hukuzoea kumnyonya mkeo matiti hata ktk mapnz yenu ya kawaida,,,basi ucfanye kwa kuckia iyo imani.
 
Kuwa na masikio basis usikie na kuwa na macho uone Mungu akusaidie kufungua akili yako uelewe ili uepusha ghadhabu hii Kali ya Mungu juu yako eewee unayeamin.
Mkuu kama hii ndio dhana INA maana Hanna haja ya kuamini matibabu ya hospitali sio",...?! kwa maana utaacha kumuamini Mungu na kuamini dawa ikiwa na maana unaabudu sanamu (hiyo dawa)
Embu vitu vingine tufikirie kwa akili ndogo tu ya kuvaa shati
 
MTU hujaelewa hapa..... Kitendo cha kukubali dhana kuwa ukiwa unanyonya maziwa ya mwanamke eti kuwa unampunguzia au unamuepusha Saratani basis huku ni kuabudu sanamu ni sawa na kuvunja amri ya kwanza kidini... Usiseme hujui iko HV sanamu sio lazima kitu kilichochingwa Bali hata kuhamisha imani yako kwa Mungu na kuiweka kwenye hali ambayo siyo ya kiMungu.

Kitendo cha kuamin na kufanya hv tayari unakiri ya kuwa hili jambo ni uokozi Wa mkeo hivyo unatoa imani yako kwa Mungu Wa kweli na kwa Kristo mponyaji unaipeleka kwa hisia za kiimani za kisayansi na hapa ni sawa na kumshusha thamani Mungu anayekurinda na kukutimizia shida zako ukimuomba. Ndio maana Mtumishi anasema kama ni mpnz tu kwa mkeo basis uwe na imani kwamba unafanya kama sehemu ya mpnz tu kwa mkeo lakin usiamini kuwa unafanya kwa ajiri ya matibabu. Naungana naye kwa Mimi na wewe tujiulize swali hili. Ikiwa kile kitendo ni kumfanya mwanamke asipate saratani basi ukiwa unamnyonya ujue wewe unayenyonya utakuwa unanyonya ugonywa kama sio ili isiwepo lazima kuwe na antitodi ya kuponesha kama ni mdomo tu je utawezaje kuleta uponyaji au uepushaji Wa saratani hiyo?
Mungu aliumba binadamu akamfanya kuwa kiumbo bora kuliko vyote pamoja..na kumuumba hvoo akampa pumzi ya uhai, mishipa ya damu maji yazungukayo mwilini kuweza kumsuport na kuregulate pia akaumba mifumo mbalimbali ili mwanadamu aweze kuongozwa nayo.

kwa mfano mfumo wa fahamu (uhusika na ufahamu wote wa mwanadamu ukihusisha ubongo na mishipa ya fahamu) mfumo wa mkojo, mfumo wa damu, mfumo wa uzazi, na mfumo wa homoni....

Mifumo hio ufanya kazi kwa kutegemeana inategemea na tunazungumzia mfumo upi kwa hapo tutazungumzia mifumo miwili mfumo wa fahamu,na mfumo wa hormone
Tukija ugonjwa wenyew kansa inasababishwa mara nyingi na ostrogen link naposema hvo namaanisha kwamba mara nyingi kansa inatokea pole ambapo ostrogen inapojaa mwilini sana bila kupata balance na homone pinzani yake iitwayo progestorene hvo bhasi wnawake wengi wenye hisyoria ya kupata kansa wengi ni wazee kwasababu wanakuwa na mgawanyiko mbaya wa ostrogen.

Kwanini tuseme kuwa kunyonya maziwa kunapunguza risk ya kwansa..
Kwanza unapomnyonya (au mtoti anapomyonya mama maziwa) mwanamke maziwa unasisimua hormone iitwayo lactatin hormone kwenye gland zilizopo kweny matiti ya mama hvo kupelekea kuongezwa kwa homon iitwayo lactin kwenye damu inayofany sehemu ya nyuma ya hypothalus iliyo na gland iitwayo pituitary kutoa hormony nyingi iitwwyo prostaglandn ivo kufany utoaji mwingi wa homone mbili ambazo ni L. H na FSH hvo kufanya kufikia ubalanse mkubwa wa hormone pinzani za oestrogen na progestorene kugmfanya kazi vzuri na kuweza kuzuia kansa.....

NB:KUMBUKA USIONGELEE SCIENCE KWA LENGO LA KUPOTOSHA WAKATI HUJUI CHOCHOTE KUHUSU SCIENCE NA PIA KUHUSU BIBLIA OVER
 
Ujinga wa wazungu wanatuambikiza sisi. Yaani wazungu wanaogopa cancer kuliko chochote kile. So akitaka kutisha na kudanganya anatafuta namna ya kuchomekea cancer.
 
Kuna habari zinaenezwa ktk mitandao na magroup ya whatsap, kwamba kumnyonya mwanamke au mke wako Mara kwa Mara kutamsaidia kutopata ugonjwa wa saratani ya matiti.

Nikiwa kama Mtumishi wa Mungu ningependa kutoa taarifa kuwa ""huo ni uzushi na ni mpango wa kuzimu ktk kuongeza wimbi LA ukahaba.

Kwaabb kama kunyonya wapo waume waaliozoea kuwanyonya wake zao kama sehemu ya mapnz, lakn pia wazee wa zamani walikua hawawanyonyi wake zao na wala hakukuwa na huo ugonjwa.

Naweza kusema kama ulikuwa umezoea kumnyonya mke wako km sehemu ya mapnz unaweza kuendelea, isipokuwa
NI MAKOSA KUNYONYA MKEO KWA IMANI IYO KWAMBA UNAMSAIDIA ACPATE UGONJWA WA SARATANI

Nawatakia ndoa na familia njema ktk Jina LA Yesu Kristo.
N kwel mkuu
 
Una uhakika gan wazee wa zaman km walikuwa hawanyonyi maziwa mkuu.. Hv unategemea mkeo ukampande km ngaz hata hao njiwa tu wanaandaana....
 
Kuna habari zinaenezwa ktk mitandao na magroup ya whatsap, kwamba kumnyonya mwanamke au mke wako Mara kwa Mara kutamsaidia kutopata ugonjwa wa saratani ya matiti.

Nikiwa kama Mtumishi wa Mungu ningependa kutoa taarifa kuwa ""huo ni uzushi na ni mpango wa kuzimu ktk kuongeza wimbi LA ukahaba.

Kwaabb kama kunyonya wapo waume waaliozoea kuwanyonya wake zao kama sehemu ya mapnz, lakn pia wazee wa zamani walikua hawawanyonyi wake zao na wala hakukuwa na huo ugonjwa.

Naweza kusema kama ulikuwa umezoea kumnyonya mke wako km sehemu ya mapnz unaweza kuendelea, isipokuwa
NI MAKOSA KUNYONYA MKEO KWA IMANI IYO KWAMBA UNAMSAIDIA ACPATE UGONJWA WA SARATANI

Nawatakia ndoa na familia njema ktk Jina LA Yesu Kristo.
We mbona unanyonywa hadi uvinza?
 
Mkuu kama hii ndio dhana INA maana Hanna haja ya kuamini matibabu ya hospitali sio",...?! kwa maana utaacha kumuamini Mungu na kuamini dawa ikiwa na maana unaabudu sanamu (hiyo dawa)
Embu vitu vingine tufikirie kwa akili ndogo tu ya kuvaa shati
Kumbe wewe huna tahadhari kwa afya yako kwakuwa hospitali zipo? Au kuchukua tahadhari kwa kuilinda afya unaabudu dawa au sanamu? Mungu tusaidie sisi waafrika mana mtu kama huyu hana tofauti na kenge. Binadamu una mawazo kama unafikiri kwa kutumia makalio.
 
Back
Top Bottom