Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,044
- 71,289
Mijizi ya CAG mnaiacha inadunda mtaani mnakuja kumfunga Mwanamke ambaye hata hakujua ni nyama ya nini, mwanamke ambaye hata huyo swala hasingeweza kumkamata, mwanamke ambaye pengine yeye na Familia yake wanalala chini, mlo mmoja, kaletewa nyama ya mbuzi auze kumbe ni ni swala, yeye ni mkemia mpaka ajue huyu ni Swala?
Miaka 22 kwa nyama yenye thaman ya laki tisa?
Kwamba kupitia hiyo nyama, angekuwa tajiri kama walivyo majizi yenu ya CAG?
Upumbavu, ufedhuli, ujinga, ukosefu wa Hekima na Busara aliouonesha huyu Hakimu unaadhihirisha aina ya Wanasheria uchwara tulionao hapa Nchini.
Miaka 22 kwa nyama yenye thaman ya laki tisa?
Kwamba kupitia hiyo nyama, angekuwa tajiri kama walivyo majizi yenu ya CAG?
Upumbavu, ufedhuli, ujinga, ukosefu wa Hekima na Busara aliouonesha huyu Hakimu unaadhihirisha aina ya Wanasheria uchwara tulionao hapa Nchini.