BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
Mbona mambo yako wazi kabisa??
Mwenye Mzigo ni Kinje Ngombale Mwiru. Huyu anajulikana na narudia kusema tena ndiye aliyetumika kumuharibu mtoto wa Sitta ALIYEMZAA kwa mkewe mkubwa aitwaye Valeria(rip).
Huyu tena anashirikiana na Shomar Kimbau sijui kwanini watu wanawaonea aibu hawa watu.
ni shomari kimbau au omari kimbau?wanaotaka ubunge wa mafia kwa hali na mali!wanaishi majirani ni kingunge ngombale mwiru pale viktoria makumbusho!wamewaharibu vijana wote mwananyamala