Kumeibuka tatizo la wanawake kupoteza maumbo yao ya kuvutia. Kipi ni chanzo?

hivi mnajua mwili

presentable kwa kitanda inaongeza msisimko? unaweza kua na guu la punda lakini mwili hauna ushirikiano at least usiwe mnene au na kitambi pumzi za kutosha
Mimi sio mnene wala mwembamna, kwanza sijawah fika hata 75kgs toka nizaliwe mpka sasa
 
unavyomuona wenzio na wengine wanakuona hivohivo ukute na wewe umekondeana kama waya nyani haoni kundule
Sioni tatizo kwa mwanaume, kwa kuwa kimvutiacho mwanamke dhidi ya mwanaume ni pesa ama dudu. Siku zote dudu alijawahi kukonda hata kama mwanaune atabaki njiti. Pia dudu huwa haliungui hata kama mwanaume awe amelipukia kwenye sheli
 
Ama kweli, dunia inakwenda kasi sana. Kimvutiacho mwanaume dhidi ya mwanamke ni Nyashi. (Kiuno fulani hivi mbudule cha Nyigo, matikiti kudondokeana yaliyododa na kugawanyika ipasavyo, bila kusahau Nyonga mbinuko, zote mbili)

Miaka ya sasa kumeibuka kaugonjwa ka KE walio wengi kupoteza mvuto wao wa awali. Haka ka utafiti nimekafanya kwa miaka mitatu mfululizo. Yaani mwaka huu 2024 unakutana na mwanamke mwenye umbo lake la kutaraadad kama vile kajiumba mwenyewe, toto totolito kweli, mzigo huoooo mpaka nguo inataka pasuka, yaani ni full ndembe ndembe mwanapacome, kiasi kwamba Nick Minaj akasome. Cha ajabu Jan ya mwaka 2025, unabahatika kuonana na huyo mwanamke akiwa kama moja hata kizugio tu cha kumtofautisha ujinsia hana. Unakuta kabakiza sura tu

Ama, kitumbo mbele mbele kama fisadi, utambi huoooo, halafu cha kusikitisha nyuma kumekuwa pasid, mtindi huooo, yaani kama tisa vile. Shavu sasa kama Mifuko ya Ilala Bonyokwa

Nahisi ni mabadiliko ya tabia nchi sijui Ama njaa imezidi, ama sijui ni maawazo ya vikoba. Mi sielewi kabisa kwa kweli, labda tusaidizane kutambua

Kwa mimi binafsi, kila mwanamke ambaye alinikataa kuwa nami kimahusiano, alipoteza mvuto mwaka mmoja tu tokea kunikatili. Wengi wao hurejea kwangu wakiwa wanatia huruma pasi na kupatiwa rehema ya aina yoyote ile. Kuna Salome (amekuwa gunia), kuna Mary, kuna Eliza na rafikiye Pamela, kuna Nasra, hawa wamekuwa moja, wote wamepoteza mionekano yao ya mwanzo

Kipi kifanyike?
Tatizo ni kula sana na uroho,
Alafu yote hiyo inatokana baada ya kuzaa, sasa tumbo likiongezeka, lazima wachumba wakukatae
 
VYanzo hutofautiana kulingana na jinsia na mabadiliko ya mienendo ya maisha kwenye jamii husika.
Tukianza na sababu ambayo inaingia kote au sababu ambayo inasababishwa na hali ya maendeleo kwenye jamii,hapo zaman kidogo jamii nyingi zilikua zikitumia miili yetu kama nyenzo ya kufanyia kazi.
nitatoa mifano mingi ili tuelewane.

1;kwenye ujenzi ilikua lazima ukachote maji,ubebe mfuko wa cement kwa kichwa,uchanganye udongo kwa mkono,upige tofali kwa mkono kisha ulibebe ukaliweke sehemu likauke,kumbuka haya yote kwasasa hayapo tena imebaki kubeba tu kuweka likauke
2;shamba tunalima kwa mkono,tunapalilia kwa mkono,leo kuna dawa za kuondoa majan.

3;kazi za nyumbani nyingi zilikua zikifanywa kwa mikono mfano kufagia,kufua,kupika nk leo hii zinafanywa na house maid au mashine.

4;angalia madhara ya bodaboda na bajaji kwenye jamii,watu walikua na uwezo wa kutembea km 10 bila kuchoka leo hii ukimwambia mwanamke au mwanaume twende umbali huu atakwambia hawezi au aishie njiani akihema kama mgonjwa wa pumu.
TAMBUA KWAMBA HAYA YOTE YANASAIDIA KUREKEBISHA UMBO LA MWANADAMU KWASABABU NI MAZOEZI MAKUBWA KULIKO UNAVYOFIKIRI.
Najitolea mfano mimi nimeoa mwanamke ambae nilikua simuwez kwa mbio alikua anakimbia km 1 mpaka 2 bila kuchoka.lakin leo hii nakwambia hata umwambie aende m500 hawezi tena.
Cha ajabu mpaka leo ninao uwezo wa kutembea km 5 mpaka 10 kwa masaa machache na nikafika safari yangu bila fatiki.

5;madawa ya uzazi wa mpango yamechangia kikubwa sana kuwaharibu wanawake maumbo yao ya asili.ninao mfano wa binti mdogo tu ameolewa juzi kati alikua poa sana umbo zuri ila alivyoolewa akaanza kutumia madawa ya uzazi wa mpango ameharibika kupita kiasi.wanawake wana vitambi kama wanafanya kwenye mahoteli ya kuonja misosi.
Hizi ndizo sababu kuu zinazosababisha hili tatizo mkuu ndugu yangu.
Nawasilisha ahsante.
 
Chunguza hili,wanawake wengi baada ya mahusiano kuvunjika wanageukia kulakula hovyo wakiamini inawasaidia kupunguza stress walizonazo,pia wana amini kuvimbiana kutawasaidia waonekane hawana maumivu ya kutendwa,matokeo yake ni kuwa na kitambi,na kiuno pia hupotea hatimaye kubakia na 9 au 1....
 
Ni kweli naliona hili,Kwa upande wangu nahisi ni njia za uzazi wa mpango,ulaji mbovu wa mafuta mengi,pombe,kutofanya mazoezi na Maisha ya kivivu.
Wengi kumaintain mwili sio kipaumbele chao.kikubwa uhai basi.

Mambo ya kumaintain mwili hata baada ya uzazi utayasikia Kwa kina Beyonce na j lo
 
Chunguza hili,wanawake wengi baada ya mahusiano kuvunjika wanageukia kulakula hovyo wakiamini inawasaidia kupunguza stress walizonazo,pia wana amini kuvimbiana kutawasaidia waonekane hawana maumivu ya kutendwa,matokeo yake ni kuwa na kitambi na kiuno kupotea hatimaye kubakia na 9 au 1....
Wanakua kama sanamu la michelini
 
Mi binafsi haka kakitambi ni
-vikuku vya kisasa
-uvivu kufanya zoezi nafanya nikijisikia
-uvivu wa kusex...mikunjo husaidia sana kupunguza mwili
Screenshot_20240303-091649.png

Nmetaka kuzoom profile 👆 nione hata miguu yako inipe tafsiri ya venye ulivyo kiumbo ila ndo hivo tena JF imenifanyia ukatiri...
 
shida ipo kwenye ulaji babu, watoto wakike wanakula hovyo sana sikuhizi we asubuhi tu keshapakia furushi la mikate mchana ubwabwa jioni chips usiku pizza ama ubwabwa au ugali na kazi zao ndo hivyo nyepesi nyepesi hawatoi jasho laini laini sana!, unafikiri hiyo sukari inaenda wapi ndio maana sikuhizi dada zetu wanazaa sana kwa visu,presha na kisukari!.

kuna mmoja nilikutananae nikaangalia namna yake ya kula mh! nilichoka hapo anakitambi mpk anaona aibu!,mi nikamkalisha nikamuambia kwa ulaji huu hautatoboa! ameshaliwa pesa za gym sana tu lkn wapi na bado anaenda gym akifikiri atapunguza tumbo!..😂
upunguze tumbo na ulaji ni uleule uliona wapi, nilimwambia kwa asilimia takribani 70 dili na kula yako hiyo 30 fanya mazoezi naona kakaza shingo na mwili nao umemkazia shingo!.
anataka awe kipotabo atusumbue vijana lkn naona zoezi lishanshinda..

tayari kaanza gym muda tu na hakuna badiliko lolote bado yupo vilevile!..
Ni kweli kabisa mkuu, deal na kula yako tu, mi mwenyewe nimepunguza kg6 baada ya kuacha baadhi ya vyakula.
 
Back
Top Bottom