johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,074
- 143,890
Unaweza kukuta Wananchi na mgombea Ubunge Malengo yao huwa tofauti Kabisa
Kwenye Katiba mpya tufanye kama ndugu zetu wa Kenya Waziiri asiwe mbunge
Watanzania mpo milioni 64 kushika Vyeo viwili vitatu ni dhuluma kwa wengine
Jumaa kareem 😂😂
Pia soma
- Naibu Waziri wa Afya: Nikiona PDF ya Zuhura haipo kwenye Instagram ya Ikulu nakuwa na 'confidence'. Mh. Rais nakushukuru sana kwa mimi kunusurika!
Kwenye Katiba mpya tufanye kama ndugu zetu wa Kenya Waziiri asiwe mbunge
Watanzania mpo milioni 64 kushika Vyeo viwili vitatu ni dhuluma kwa wengine
Jumaa kareem 😂😂
Pia soma
- Naibu Waziri wa Afya: Nikiona PDF ya Zuhura haipo kwenye Instagram ya Ikulu nakuwa na 'confidence'. Mh. Rais nakushukuru sana kwa mimi kunusurika!