Kumbe wanawake wa bongo ni wazuri sana, tena sana

Roulette

JF-Expert Member
Dec 15, 2010
5,579
5,381
Nilikua nafikiria itakuwaje hawa ma celeb wakitoa makeup au watumie makeup ya kawaida (kama sisi), watakuaje. Nimewapata ma celeb kadhaa bila makeup, wanatisha. Kumbe wanawake wa bongo ni wazuri, maana wange pata huduma kama ya maceleb hawa wangeitikisa dunia...
 

Attachments

  • na wengine wengi.jpg
    na wengine wengi.jpg
    63.2 KB · Views: 282
  • Cher.jpg
    Cher.jpg
    8.4 KB · Views: 330
  • Miss india.jpg
    Miss india.jpg
    8.5 KB · Views: 295
  • Beyonce.jpg
    Beyonce.jpg
    7.8 KB · Views: 276
  • Jenifer lopez.jpg
    Jenifer lopez.jpg
    10.3 KB · Views: 256
  • Simjui.jpg
    Simjui.jpg
    9.6 KB · Views: 231
  • Oprah winfrey.jpg
    Oprah winfrey.jpg
    2.4 KB · Views: 234
  • Alicia keys.jpg
    Alicia keys.jpg
    7.6 KB · Views: 238
  • halle berry.jpg
    halle berry.jpg
    17.4 KB · Views: 248
  • Tyra banks.jpg
    Tyra banks.jpg
    9.6 KB · Views: 245
si mtu unaweza kupishana nao barabarani bila kuwajua aisee au ukibambana nae club usiku si utashangaa asubuhi utakapomuona pembeni yako amelala utaanza kusema uliokota mpenzi jini
 
Nilikua nafikiria itakuwaje hawa ma celeb wakitoa makeup au watumie makeup ya kawaida (kama sisi), watakuaje. Nimewapata ma celeb kadhaa bila makeup, wanatisha. Kumbe wanawake wa bongo ni wazuri, maana wange pata huduma kama ya maceleb hawa wangeitikisa dunia...
<br />
<br />
Simjui hapo juu ni jessica simpson
 
Halle Bery na Alicia Keys wako bomba hata bila mekapu, ila Jlo ajitahidi asiziache, manake, loh!!... Wanawake wa kibongo wapo ambao bila mekap wanatisha pia, tena wengi tu!!!
 
Simjui hapo juu ni jessica simpson

Thank you J rated. Niliona nisiandike uongo wakati mi simjui. Tyra banks kaanzisha campaign ya "free from makeup" ila sijui kama tapata wafuasi kwa kweli...
 
Kiukweli wanawake wa kitz wako juu tatizo mchina ndo kaja kuharibu kila kitu
 
Kiukweli wanawake wa kitz wako juu tatizo mchina ndo kaja kuharibu kila kitu
Ah, sio wote bwana... nadhani ni wale ambao wahajiamini ndio wanaweka ma makeup ya kupindukia na wale in complete despair wanatumia dawa za mchina. Mwanamke wowote akiwa msafi na confidence haitaji vyote hivyo,
 
Ah, sio wote bwana... nadhani ni wale ambao wahajiamini ndio wanaweka ma makeup ya kupindukia na wale in complete despair wanatumia dawa za mchina. Mwanamke wowote akiwa msafi na confidence haitaji vyote hivyo,

mweleze,tupo sana ambao bado tunapaka mafuta ya nazi na bado tunatoka warembo.
sio wote wanajificha nyuma ya make ups au kupaka dawa za wachina.
BTW.hivi hizi dawa za kichina bado zipo au ni porojo tu jaman,sbb mm najua maumbo yanabadilishwa kwa operesheni.
 
Back
Top Bottom