Mi hata sijaelewa
Mleta mada kasema picha ya ndege aitwaye tai (eagle) na ndege ya kivita zinafanana. Pia ndege ya kivita ilitengenezwa kwa mfano wa huyo ndege pori aitwaye tai.
Umeelewa sasa?
Ata kidogo?
Uko sawa mkuu ila inaonyesha wewe kilaza wa ndege huyo si tahi/vulture bali ni mwewe/eagle.Mleta mada kasema picha ya ndege aitwaye tai (eagle) na ndege ya kivita zinafanana. Pia ndege ya kivita ilitengenezwa kwa mfano wa huyo ndege pori aitwaye tai.
Umeelewa sasa?
Aaaaah nimeelewa asante kwa maelezo mazuri
Umemsoma Arushaone hapo juu?
Mi hata sijaelewa
You are welcome, anytime!
OK Topi, hapo nimepinda, hata hivyo mimi siyo guide ila nimejaribu tu na nimeeleweka. Mimi ni kilaza!
nimeipenda hii