Kumbe walicopy hapa

utafiti

JF-Expert Member
Jul 18, 2013
12,783
7,657
1398098959464.jpg
 
Ndege zote kaka zina streamline bodies zinazosababisha kuruka Kwa urahisi.Kuanzia wanyama na ndege Za kutengeneza kiukweli ni kwamba walicopy kutoka Kwa ndege wa nyama.
 
Mleta mada kasema picha ya ndege aitwaye tai (eagle) na ndege ya kivita zinafanana. Pia ndege ya kivita ilitengenezwa kwa mfano wa huyo ndege pori aitwaye tai.

Umeelewa sasa?
Uko sawa mkuu ila inaonyesha wewe kilaza wa ndege huyo si tahi/vulture bali ni mwewe/eagle.
 
Uko sawa mkuu ila inaonyesha wewe kilaza wa ndege huyo si tahi/vulture bali ni mwewe/eagle.

OK Topi, hapo nimepinda, hata hivyo mimi siyo guide ila nimejaribu tu na nimeeleweka. Mimi ni kilaza!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom