Logo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2011
- 588
- 48
Nimefurahi sana kujua hili! Nimekuwa nikichumbia sana muda sio mrefu wananitosa, mimi nilikuwa na msomamo wa kipadre, hakuna game kabla ya ndoa! duh wiki mbili wananikimbia nilipochoka kuchumbia, nikaja kupata mwingine, nikaambiwa na rafiki yangu usipompa malevidevi atakuacha! nikajaribu bana yaaaaaaani wanapendaaaaaaaaaaaaaaa, teh teh teh usijidanganye unamchumba eti hutaki malevidevi kwa sababu wewe ni padili hahaaaaa watakuacha mpaka basi!