andishile
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,429
- 520
Pamoja na kwamba mama yake ni mtanzania,mimi kura yangu ya kubaki bba hapati!yani huyu mjamaa kwenye big brother ni mpika majungu mkubwa,kawapikia majugu wenzake wametolewa,sasa hivi zamu yake anapendekezwa kutolewa ndo anajitangazia mama yake mtanzania ili watanzania tumuonee huruma! Alisahau usemi wa"auae kwa upanga atakufa kwa upanga"