Jana wakati wa taarifa ya habari ya ITV saa mbili usiku, walimripoti katibu mkuu wa CCM Wilson Mukama kwa kumtaja kama Dk wakati akiongea na wana CCM wa chuo kikuu Mzumbe,mi nishangaa na sikuwahi kufahamu kuwa ni daktari.Mwenye kujua tafadhali.
Hawa ndiyo madockta wa CCM!!
Kwani wingi wa MaDr ndo suluhisho la matatizo yetu au ndio kunachochea kuongezeka kwa ufisadi?hata mimi nilishangaa sana. Awali nilifikiri wamekosea lakini waliporudia mara tatu nikajua wamemaanisha!! Mwenye Academic background yake naomba atuwekee humu!! sifa za kijinga hatuzifagilii!!