ila Wema mtamu jaman hilo pepo lake tu ndio linamuharibia sifa zake lol si unamuona zzk anavyomtolea tabasamu toto hilohapo sasa.........
sasa si anacheza jamani.............sas pasua kichwa yatokea wapihuyu wema ni pasua kichwa aisee...huwa simuelewi kabisa.
Dah! Hilo jicho Zitto alilotoa! Anaonyesha ana kiu balaa!