Dr. Wansegamila
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 2,858
- 7,847
Zitto ni mnafiki. Huu ni wimbo wa milele.
mpemi Zitto break apumnzike. Anapopiga Rais wako kila akisafiri kwenda nje ya nchi lazima apige picha na celebrity, lkn kwasababu ni Gamba mwenzio basi hapo ni sawa tu.
MadameX, Ulitangaza nia ya kuolewa, vp umepata mtu wa kukuoa?Aachane na ubachelor aoe
hapo sasa.........
lol! Karibu nipaliwe kwa kicheko hahahahah...Inaelekea G ukiangaliwa hivyo basi hizo upper cuts utakazorusha zitakuwa si za kawaida ...sasa utachezaje muziki na partner wako bila kumuangalia?
Niko kwenye mikakatiMadameX, Ulitangaza nia ya kuolewa, vp umepata mtu wa kukuoa?
mamaaaaaa!!!! acha watu wale raha bhana!! tz life gumu...lol!"wema geuka basi kidogo hivi...ewaa teh teh"
Dah! Hilo jicho Zitto alilotoa! Anaonyesha ana kiu balaa!