Basi jirani utakipata unachokitafuta kwe muujibu wa maandiko...Nooo,😜🙈...maandiko tafadhali...tunasimamia maandiko jirani
Yaani rafiki yangu siku mbili hizi za watoto kufanya mtihani, umepata muda wa kupitia bible ili uje na ushahidi wa jambo la kumwagia nje au ndaniNi kitabu cha Mwanzo 38:6-10 neno linasema hivi, "Yuda akamwoza mke Eric, mzaliwa wake wa kwanza, na jina lake huyo mke ni Tamari. Naye Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mbaya machoni pa Bwana; na Bwana akamwua. Yuda akamwambia Onani, mzaliwa wake wa pili, uingie kwa mke wa nduguyo ukamwoe, ukamwinulie nduguyo uzao."
"Onani alijua ya kwamba huo uzao hautakuwa wake, ikawa, alipoingia kwa mke wa nduguye, akamwagia chini asimpe nduguye uzao. Neno hili alilolifanya likawa baya machoni pa BBwana, basi akamwua yeye naye."
Kumwagia nje hizo mbegu kumbe ni chukizo mbele ya Mwenyezi Mungu wajameni?
Hakika nimesoma sana bibliaYaani rafiki yangu siku mbili hizi za watoto kufanya mtihani, umepata muda wa kupitia bible ili uje na ushahidi wa jambo la kumwagia nje au ndani
Safi umeutumia muda vyema hongera sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada si ungeniita tu nikutafune kikatibu katibuKwa kweli....mi nilijiself night....nikaamka asubuhi neno likanikumbusha🤦
Aisee. Mungu alikuwa hapendi ujingaNi kitabu cha Mwanzo 38:6-10 neno linasema hivi, "Yuda akamwoza mke Eric, mzaliwa wake wa kwanza, na jina lake huyo mke ni Tamari. Naye Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mbaya machoni pa Bwana; na Bwana akamwua. Yuda akamwambia Onani, mzaliwa wake wa pili, uingie kwa mke wa nduguyo ukamwoe, ukamwinulie nduguyo uzao."
"Onani alijua ya kwamba huo uzao hautakuwa wake, ikawa, alipoingia kwa mke wa nduguye, akamwagia chini asimpe nduguye uzao. Neno hili alilolifanya likawa baya machoni pa BBwana, basi akamwua yeye naye."
😳Kumwagia nje hizo mbegu kumbe ni chukizo mbele ya Mwenyezi Mungu wajameni?🤦
Sex was ment for reproductionNasikia eti mom? Aisee sijui tutakimbilia njia gani....maana la sivyo hizo mimba Mbona Itakuwa daily