GITWA
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,489
- 1,687
Hebu wana JF tujadili hili,mnapoanza mapenzi kila mtu anakua na matarajio yake.maana hua ameumba picha ya aina ya mwenzi anaemuitaji akilini mwake.Na mnapoanza kujuana deep huku msha du ndo mnagundua sio aina ya mpenzi uliyekua nae mawazoni.Hapo ndo unakuja ugumu wa kulinda penzi.Je utafanyaje ili ulinde penzi au utajitoa kwenye mahusiano?