nyiramba girl
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 778
- 4,167
haina jinsia hii haswa mpenzio akiwa mbali kuliko kuchepuka na kuepuka dhambi ya kuzini bora raha ujipe mwenyeweNijaribu vipi tena?, kwani mimi mwanaume jamani, chamajani nini lakini!
haina jinsia hii haswa mpenzio akiwa mbali kuliko kuchepuka na kuepuka dhambi ya kuzini bora raha ujipe mwenyeweNijaribu vipi tena?, kwani mimi mwanaume jamani, chamajani nini lakini!
hata si uongoJamani mbona hata wanawake wana-masturbate?? Tena more often than males!!
tena utamu wake hauelezeki kwakwelini kweli tena kwa wakike its a feel the utamu mno mno than normal sex..... tamu sana sana :teeth:
hahahaa hawataki upate mijiutamu hao si watu wazuriMbona makanisani tunaambiwa ni dhambi, wanasema ni ibada ya sanamu, kumbe sio dhambi!
hapo huna dhambi kabisa hata mungu anakufurahia maan umeepuka kuzini na wanawake wengine tofauti na mkeo...safi mkuuMimi nipo mbali na nyumbani, sitaki kumsaliti mke wangu, napiga nyeto kwa kuvuta hisia za picha ya mke wangu(kwani nampenda), sasa hapo dhambi ipo wapi?
Jamani nimesoma article moja mtandaoni, inasema masturbation ni normal and natural kwa wanaume na inashauriwa kiafya mtu afanye mara kwa mara na akishindwa kabisa afanye japo mara moja kwa mwezi, inasaidia kupunguza tatizo la kukujoa mapema akiwa anajamiiana na mwenzi wake pia hupunguza mlundikano wa sperms, hii ni aje jamani? hivi ni kweli mnafanya hiyo? Maana mimi nilikuwa najua hicho kitu ni dhambi na mtu hufanya akizidiwa tu. Halafu najiuliza ina maana na bamsapu wangu huwa anafanya hivyo!Mweh!
Merry Christmass!:A S-heart-2: