MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,214
- 2,401
Jamani nimesoma article moja mtandaoni, inasema masturbation ni normal and natural kwa wanaume na inashauriwa kiafya mtu afanye mara kwa mara na akishindwa kabisa afanye japo mara moja kwa mwezi, inasaidia kupunguza tatizo la kukujoa mapema akiwa anajamiiana na mwenzi wake pia hupunguza mlundikano wa sperms, hii ni aje jamani? hivi ni kweli mnafanya hiyo? Maana mimi nilikuwa najua hicho kitu ni dhambi na mtu hufanya akizidiwa tu. Halafu najiuliza ina maana na bamsapu wangu huwa anafanya hivyo!Mweh!
Merry Christmass!:A S-heart-2:
Merry Christmass!:A S-heart-2: