Elections 2010 Kumbe kikwete alichaguliwa na wanaccm milioni 5

Mungi

JF Gold Member
Sep 23, 2010
16,975
9,566
Sasa nimeamini kuwa Kikwete alichaguliwa na wanachama milioni 5 wa ccm.
CCM ina wanachama zaidi ya milioni 5 nchi nzima.
Hivyo nadiriki kusema kuwa wale wapigakura zaidi ya milioni 4 waliokosa majina yao ndiyo wanachama wa CHADEMA ambao kwa makusudi usalama wa taifa ulifuta majina yao kwenye orodha ya wapiga kura.

Mungu ibariki Tanzania wana CHADEMA tupate amani maana hapa tulipo inatuuma kitendo tulichofanyiwa na Usalama wa Taifa.
 
Nimeanza kuamini maneno ya mpiga kura mmoja ambaye nilimpigia simu aja kupiga kura siku ya jumapili 31.10. Aliniambia "Kaa la moto mie nimeamua kutopiga kura maana nina hakika ccm itaiiba" pamoja najitihada zangu za kumbembeleza aje apige kura sikufanikiwa.
Nimegundua wengi hawakupiga kura kwa kuwa walielewa hakutakuwa na mabadiliko na wakati hawampendi Kikwete. Wakaamua kulala nyumbani kupumzika weekend
 
Back
Top Bottom