Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,352
- 9,811
Mnafikiri Ibenge ana njaa za kisengerema kama kina mkwasa? Utopolo lazima atoke
Mtukuka dalaliNisalimie sana 'Mido Meni' Mwinyi Zahera.
Yanga anapigwa nje ndani hadi mwenyewe afurahiMshaanza kubadilisha gia angani taratibu, kutoka kwenye msemo wa yanga anapigwa na timu kubwa hal hilal ndo mwisho wao mmerudi kwrnye yanga amehonga kushinda mechi tulieni na iyo timu yenu mnayopambana ipate ushindi mbele ya yanga mliyosema ni dhaifu, tena ni bora msije uwanjani maana mtaaibika vibaya