Kumbe kauli Mbiu ya 'Come Sunshine Come Rain' na Kujiamini Kuvuka imekuja baada ya Tajiri Komhonga Kocha Mkongo?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,011
16,748
Tajiri kamtumia Kocha wa zamani Mkongo anayehudumu sasa ndani ya Klabu pamoja na Wachezaji wetu wa Kikongo ndani ya Klabu ili Kumalizana na Mkongo Mwenzao aliye kwa Waarabu awape Mbinu zao na pia awapangie Kikosi dhaifu ili tuweze kufuzu Makundi na tuwaridhishe Wanachama, Wapenzi na Mashabiki.

Ama hakika 'Come Sunshine Come Rain' Mwarabu anakufa kote kote kwani Nguvu yetu ya Pesa na Kuhonga Timu, Marefa, Makocha na Wachezaji huwa haishii tu katika Ligi Kuu ya Tanzania ( NBC Premier League ) bali Utamaduni huu unaendelea na utaendelea hadi katika Mashindano ya Kimataifa.

Ukiona MINOCYCLINE 'Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person' naandika Kitu ( Jambo ) jua kwa 99.99999999999% ni sahihi ( ukweli )​


Imeisha hiyo........!!!!!!!
 
Tajiri kamtumia Kocha wa zamani Mkongo anayehudumu sasa ndani ya Klabu pamoja na Wachezaji wetu wa Kikongo ndani ya Klabu ili Kumalizana na Mkongo Mwenzao aliye kwa Waarabu awape Mbinu zao na pia awapangie Kikosi dhaifu ili tuweze kufuzu Makundi na tuwaridhishe Wanachama, Wapenzi na Mashabiki.

Ama hakika 'Come Sunshine Come Rain' Mwarabu anakufa kote kote kwani Nguvu yetu ya Pesa na Kuhonga Timu, Marefa, Makocha na Wachezaji huwa haishii tu katika Ligi Kuu ya Tanzania ( NBC Premier League ) bali Utamaduni huu unaendelea na utaendelea hadi katika Mashindano ya Kimataifa.

Ukiona MINOCYCLINE 'Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person' naandika Kitu ( Jambo ) jua kwa 99.99999999999% ni sahihi ( ukweli )​


Imeisha hiyo........!!!!!!!
Lakini wewe jamaa bana.
 
Yani wamepigwa mamilioni na uwanjani wanapigwa hivyo hivyo kmmk.
 
Popoma tatizo lako ujuaji mwingi,Kila unachofanya unaishia kufeli.
 
Tajiri kamtumia Kocha wa zamani Mkongo anayehudumu sasa ndani ya Klabu pamoja na Wachezaji wetu wa Kikongo ndani ya Klabu ili Kumalizana na Mkongo Mwenzao aliye kwa Waarabu awape Mbinu zao na pia awapangie Kikosi dhaifu ili tuweze kufuzu Makundi na tuwaridhishe Wanachama, Wapenzi na Mashabiki.

Ama hakika 'Come Sunshine Come Rain' Mwarabu anakufa kote kote kwani Nguvu yetu ya Pesa na Kuhonga Timu, Marefa, Makocha na Wachezaji huwa haishii tu katika Ligi Kuu ya Tanzania ( NBC Premier League ) bali Utamaduni huu unaendelea na utaendelea hadi katika Mashindano ya Kimataifa.

Ukiona MINOCYCLINE 'Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person' naandika Kitu ( Jambo ) jua kwa 99.99999999999% ni sahihi ( ukweli )​


Imeisha hiyo........!!!!!!!
Mshaanza kubadilisha gia angani taratibu, kutoka kwenye msemo wa yanga anapigwa na timu kubwa hal hilal ndo mwisho wao mmerudi kwrnye yanga amehonga kushinda mechi🤣🤣 tulieni na iyo timu yenu mnayopambana ipate ushindi mbele ya yanga mliyosema ni dhaifu, tena ni bora msije uwanjani maana mtaaibika vibaya
 
Mshaanza kubadilisha gia angani taratibu, kutoka kwenye msemo wa yanga anapigwa na timu kubwa hal hilal ndo mwisho wao mmerudi kwrnye yanga amehonga kushinda mechi tulieni na iyo timu yenu mnayopambana ipate ushindi mbele ya yanga mliyosema ni dhaifu, tena ni bora msije uwanjani maana mtaaibika vibaya
, umeona mbali sana mkuu
1662145177646.jpg
 
Tajiri kamtumia Kocha wa zamani Mkongo anayehudumu sasa ndani ya Klabu pamoja na Wachezaji wetu wa Kikongo ndani ya Klabu ili Kumalizana na Mkongo Mwenzao aliye kwa Waarabu awape Mbinu zao na pia awapangie Kikosi dhaifu ili tuweze kufuzu Makundi na tuwaridhishe Wanachama, Wapenzi na Mashabiki.

Ama hakika 'Come Sunshine Come Rain' Mwarabu anakufa kote kote kwani Nguvu yetu ya Pesa na Kuhonga Timu, Marefa, Makocha na Wachezaji huwa haishii tu katika Ligi Kuu ya Tanzania ( NBC Premier League ) bali Utamaduni huu unaendelea na utaendelea hadi katika Mashindano ya Kimataifa.

Ukiona MINOCYCLINE 'Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person' naandika Kitu ( Jambo ) jua kwa 99.99999999999% ni sahihi ( ukweli )​


Imeisha hiyo........!!!!!!!
Hata mikia aka mbumbumbu FC wamekula sana hongo. Chezea pesa wewe!!

Once mbumbumbu, always mbumbumbu
 
Back
Top Bottom