MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Tajiri kamtumia Kocha wa zamani Mkongo anayehudumu sasa ndani ya Klabu pamoja na Wachezaji wetu wa Kikongo ndani ya Klabu ili Kumalizana na Mkongo Mwenzao aliye kwa Waarabu awape Mbinu zao na pia awapangie Kikosi dhaifu ili tuweze kufuzu Makundi na tuwaridhishe Wanachama, Wapenzi na Mashabiki.
Ama hakika 'Come Sunshine Come Rain' Mwarabu anakufa kote kote kwani Nguvu yetu ya Pesa na Kuhonga Timu, Marefa, Makocha na Wachezaji huwa haishii tu katika Ligi Kuu ya Tanzania ( NBC Premier League ) bali Utamaduni huu unaendelea na utaendelea hadi katika Mashindano ya Kimataifa.
Imeisha hiyo........!!!!!!!
Ama hakika 'Come Sunshine Come Rain' Mwarabu anakufa kote kote kwani Nguvu yetu ya Pesa na Kuhonga Timu, Marefa, Makocha na Wachezaji huwa haishii tu katika Ligi Kuu ya Tanzania ( NBC Premier League ) bali Utamaduni huu unaendelea na utaendelea hadi katika Mashindano ya Kimataifa.
Ukiona MINOCYCLINE 'Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person' naandika Kitu ( Jambo ) jua kwa 99.99999999999% ni sahihi ( ukweli )
Imeisha hiyo........!!!!!!!