Waeleze hao maana hawajui maana ya miji mizuri. Miji mizuri huchagui sehemu ya kwenda, you can go anywhere na bado ni kusafi na kumejipanga vizuri.
Nani ameshafika Gaborone, Botswana. Hakuna sehemu za hovyo na chafu mji mzima!
Huyo jamaa alieanzisha topic hii alipita hapa....Kibs na wewe bana....