Wanafunzi wa shule flani waliambiwa watengeneze
t.v kwa kutumia mabox!
Siku ya kuleta hizo t.v wanafunzi wote wakaleta
mabox yao,kasoro dogo mmoja sharobaro alieleta
karatasi kubwaaaa
Mwalimu akamuuliza "We vipi mbona umeleta
karatasi?"
Dogo akamjibu "Hii ni plasma flat screen".
Wanafunzi wa shule flani waliambiwa watengeneze[/QU
t.v kwa kutumia mabox!
Siku ya kuleta hizo t.v wanafunzi wote wakaleta
mabox yao,kasoro dogo mmoja sharobaro alieleta
karatasi kubwaaaa
Mwalimu akamuuliza "We vipi mbona umeleta karatasi?" Dogo akamjibu "Hii ni plasma flat screen".
hahahahah! huyo mwanafunz kwel sharobaro! Duh
sijui sasa mwalimu alimjibujeWanafunzi wa shule flani waliambiwa watengeneze[/QU
t.v kwa kutumia mabox!
Siku ya kuleta hizo t.v wanafunzi wote wakaleta
mabox yao,kasoro dogo mmoja sharobaro alieleta
karatasi kubwaaaa
Mwalimu akamuuliza "We vipi mbona umeleta karatasi?" Dogo akamjibu "Hii ni plasma flat screen".
hahahahah! huyo mwanafunz kwel sharobaro! Duh
Mlevi 1: Aise mwenzio jana niliota niko Marekani
Mlevi 2: Mi niliota niko kwenye nyumba nzuri kila chumba kina pombe nililewa sana.
Mlevi 1: Una roho mbaya kwanini hukunitafuta?
Mlevi 2: Nilikuja mpaka kwenu, mkeo akanambia umeenda Marekani
malimu atakuaa ameipenda anashindwa kusema!!!sijui sasa mwalimu alimjibuje