Paul dybala
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 304
- 1,096
Kumbe sera ya wanyamapori kupitia wizara ya maliasili na utalii. Kuna utaratibu wa kuwinda wanyama?
Maoni yangu kibali kisiwe cha gharama kubwa ili kuwawezesha watanzania kujipatia vitoweo kwa ajili ya kujiimarisha kiuchumi na kiafya maana mfano wale swala wanazaliana kwa wingi sana, au wakuu nimekosea?
Maoni yangu kibali kisiwe cha gharama kubwa ili kuwawezesha watanzania kujipatia vitoweo kwa ajili ya kujiimarisha kiuchumi na kiafya maana mfano wale swala wanazaliana kwa wingi sana, au wakuu nimekosea?