Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 40,600
- 52,300
heee heee heeee,
nani eti madameb, mmmmh, umekuja vibaya,
hapo unagusa roho za watu wazito sana humu jf,
sijui kama vipi mimi kama mama yako nakushauri
utafute pengine.
hahahahaha. Unaanza kumshushua mgeni?
Karibu sana Grenade
Naomba kukutambulisha wake zangu wapendwa nikianza na Kipenzi changu toka moyoni kwa juu kabisa bibie Amyner (Kwa sasa yuko busy na majukumu ya Kifamilia so hujamuona humu), Bibie Remmy (Huwa anatuliza moyo wangu kwa kipindi ambapo Amyner haupo), BADILI TABIA (Huyu Hajatulia nimemtema kama wewe ni ME beba mzigo), The secretary (Huwa akimiss mambo yangu anakuja home kujisevia), Preta (Nilishinikizwa kumuona na PakaJimmy ila nampenda sana sema ni kiruka njia sana mara kwa TANMO mara kwa KakaKiiza mara kwa mtu chake yan utulivu F) Kongosho ndio alinifundisha tendo tamu..na kama nilivyomfundisha King'asti
Dah nahisi bado wengi naomba Mr Rocky aje anisaidie kukutambulisha ila ukionana na Yummy , Dena Amsi ujue Ni wake za Mr Rocky
Mwisho nakutambulisha dada yangu Blaki Womani na sweetlady
Pia siwasahau Mods wenzangu Paw (Mume wa King'asti ila inaniuma sana), Roulette (Miss you Madame), na Fang na Meezy
...hasara roho,pesa makaratasi.
Heshima pesa,ndevu urembo.
Salio lako limegota kwenye Sh ngapi?
heee heee heeee,
nani eti madameb, mmmmh, umekuja vibaya,
hapo unagusa roho za watu wazito sana humu jf,
sijui kama vipi mimi kama mama yako nakushauri
utafute pengine.
sweetlady mke wa nitonye karibia uone moto wake mwulize Vin Diesel...... Madam B usimponze kijana yupo na munkari ya kupata wifeNipo nipo mamaa, nikimbie bahati tena?? hakuna mke wa mtu hapo?? haya hebu ni asign mmoja niondokane na ubachela wa jei efu.
'kasiko' karibu tena na tena na tena! Lolkwema tu, ila jua kali balaa. Alafu jina lako limenishinda kulitamka.
Wee.. unadhani sijui kama madame B ni mtu mzito humu chit chat?? sikumaanisha nimchukue, nlimaanisha anipe utaratibu tu coz nilielekezwa kwake
Afu we X mkwe nakumaindi kitambo,
kila chimbo nitakalotimba unatia maguu,
Me niko Kazini nafanya mchongo afu unaniletea Mpwapwaso,
Nitakuzingua.
Afu nasikia unataka kurudiana na Arushaone.
Ole Mkwe.
Nipo nipo mamaa, nikimbie bahati tena?? hakuna mke wa mtu hapo?? haya hebu ni asign mmoja niondokane na ubachela wa jei efu.