maziwa mgando @ work!
any way karibu but siku nyingine ukitaka ku-mention my huz C6 tafadhali anza kummention yeye kisha mimi. . . ama umesahau mwanaume ni kichwa cha familia????
shukrani Baba V! Halafu St. Paka Mweusi kanambia nije kuripoti kwako kwanza
wageni hadi wanajua kumention majina wakati wenyeji hatujui!. haya karibu. mia
Karibu sana GrenadeHabarin, kiukweli nmevutiwa na hili jukwaa lenu so sio mbaya tukiwa pamoja.. Arushaone Baba V Madame B Erickb52 Mamndenyi St. Paka Mweusi, mkiva charminglady C6 zubedayo_mchuzi Ciello FP Filipo , Na wengine wote jukwaani hodi. mimi ni "me". pamoja
Mi nipo ila sipost sana, but nakusoma mkuu. (Miss you too)
nasikia we ndio mmoja wa wale waliorusha makonde UWT dodoma...umekaa kiuchaguzi chaguzi tu!!
Pouwa.....tuko pamoja aisee!Mi nipo ila sipost sana, but nakusoma mkuu. (Miss you too)
Mmmmmhh!
Kuna wenyewe huku! Nimepita tu!