njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Yaani kama kuna mazindiko yaliwekwa mahala nchi hii yakatolewe haraka, the country is rotten to the core IMEKUWA NCHI YA KINAFIKI SANA kujifanya ni ya upendo na haki lakini deep inside ni nchi ya watu wenye roho mbaya sana wanaotawala wenzao na tabasamu la kinafiki huku wakiwaangamiza kisaikolojia na ki phyically
Miezi kadhaa huko nyuma Zungu wa ilala kama masihara alisema iwekwe tozo ya uzalendo kwenye lines za simu, ilichukuliwa kama a big joke
Angalia tulipofika sasa ni DHAHAMA KUBWA SANA ni mateso makubwa sana na watoa mateso wana enjoy kweli na vicheko juu yake na kebehi za kutosha kama vile "hamieni burundi" why Burundi, why not zanzibar wasiojua mateso ya ajabu ajabu yanayotokea Tanganyika, hivi huko zanzibar kuna tozo kweli?
Tuliamlaumu sana Jpm kuipendelea chato lakini hii ya kuipendelea zanzibar kwa kuwaadhibu watanganyika na mateso makali ya bei kupanda na ma tozo yasiyo na kichwa wala miguu ni ukatili wa hali ya juu sana
Leo ukilalamika utasikia LAZIMA WATU WAUMIE ILI MAENDELEO YAJE, HIZI TOZO ZINAJENGA MADARASA, haijuilikani ni tozo au hela za covid zinazojenga madarasa
INA MAANA BILA ILE IDEA YA ZUNGU LEO KUSINGEKUWA NA HELA ZA KUJENGA HAYO MADARASA?HIVI KWELI NCHI INA MIRASILIMALI YOTE MME OPT KUUMIZA WATU KIASI HIKI MKIPEWA NCHI KAVU NA KAME KAMA CHAD AU MAURITANIA MTAWALE SI MTACHANGANYIKIWA KABISA?
HAPO KILA MWAKA MNANUNUA MAGARI YA KIFAHARI KWA BILLIONS 600 BADO KUNA NDEGE TANO ZINAKUJA ZIMENUNULIWA CASH UKIJUMLISHA HUKOSI TRIILIONS 2 HAPO
MNGEKUWA KWELI NYIE MNA UBINADAMU NA NIA THABITI MNGEBANA HAYO MATUMIZI NA KUSITISHA UNUNUZI MA VX KWA MIAKA 5 NA KUSITISHA KUNUNUA NDEGE CASH
Sema sababu mnatawala wajinga na wapuuzi mnajiachia mtakavyo hata reports za CAG zimekuwa kama circus zinatolewa kila mwaka watu wanacheka yanaisha MAPESA YANAIBIWA BADO TENA MNAIBA ZA WATU KWENYE ACCOUNTS ZAO
MNA ROHO MBAYA SANA SANA TU
Miezi kadhaa huko nyuma Zungu wa ilala kama masihara alisema iwekwe tozo ya uzalendo kwenye lines za simu, ilichukuliwa kama a big joke
Angalia tulipofika sasa ni DHAHAMA KUBWA SANA ni mateso makubwa sana na watoa mateso wana enjoy kweli na vicheko juu yake na kebehi za kutosha kama vile "hamieni burundi" why Burundi, why not zanzibar wasiojua mateso ya ajabu ajabu yanayotokea Tanganyika, hivi huko zanzibar kuna tozo kweli?
Tuliamlaumu sana Jpm kuipendelea chato lakini hii ya kuipendelea zanzibar kwa kuwaadhibu watanganyika na mateso makali ya bei kupanda na ma tozo yasiyo na kichwa wala miguu ni ukatili wa hali ya juu sana
Leo ukilalamika utasikia LAZIMA WATU WAUMIE ILI MAENDELEO YAJE, HIZI TOZO ZINAJENGA MADARASA, haijuilikani ni tozo au hela za covid zinazojenga madarasa
INA MAANA BILA ILE IDEA YA ZUNGU LEO KUSINGEKUWA NA HELA ZA KUJENGA HAYO MADARASA?HIVI KWELI NCHI INA MIRASILIMALI YOTE MME OPT KUUMIZA WATU KIASI HIKI MKIPEWA NCHI KAVU NA KAME KAMA CHAD AU MAURITANIA MTAWALE SI MTACHANGANYIKIWA KABISA?
HAPO KILA MWAKA MNANUNUA MAGARI YA KIFAHARI KWA BILLIONS 600 BADO KUNA NDEGE TANO ZINAKUJA ZIMENUNULIWA CASH UKIJUMLISHA HUKOSI TRIILIONS 2 HAPO
MNGEKUWA KWELI NYIE MNA UBINADAMU NA NIA THABITI MNGEBANA HAYO MATUMIZI NA KUSITISHA UNUNUZI MA VX KWA MIAKA 5 NA KUSITISHA KUNUNUA NDEGE CASH
Sema sababu mnatawala wajinga na wapuuzi mnajiachia mtakavyo hata reports za CAG zimekuwa kama circus zinatolewa kila mwaka watu wanacheka yanaisha MAPESA YANAIBIWA BADO TENA MNAIBA ZA WATU KWENYE ACCOUNTS ZAO
MNA ROHO MBAYA SANA SANA TU