Kulingana umri kwa wapenzi/wachumba kuna athari gani?

Seif al Islam

JF-Expert Member
Nov 14, 2011
2,156
638
Jamani hebu tuwekane sawa katka hili.kuna watu wengi sana wanadai eti haifai na haishauriwi kwa wachumba/mke na mume kulingana umri.kuna sababu nyingi wanazotoa eti ooh mke atazeeka mapema(wakati kuna matunzo) na nyingine nyingi .naombeni sana wanajamvi wenzangu mnisaidie mm na wengine wanaotatizwa na kelele hizi ili tujue ukweli.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Jamani hebu tuwekane sawa katka hili.kuna watu wengi sana wanadai eti haifai na haishauriwi kwa wachumba/mke na mume kulingana umri.kuna sababu nyingi wanazotoa eti ooh mke atazeeka mapema(wakati kuna matunzo) na nyingine nyingi .naombeni sana wanajamvi wenzangu mnisaidie mm na wengine wanaotatizwa na kelele hizi ili tujue ukweli.
Nimeshuhudia kijana wa miaka 30 alimuoa dada wa miaka 38 na maisha ni mazuri. Kwa Tanzania hatujazoea ila siku hizii naona inajitokeza mara chache na mwisho itazoeleka!!! Mbona wengine wako na mijimama unakuta 30s anakimbizana na mama wa miaka 40s hata na 50s!!!!??? Kwa upande wangu angalao msizidiane over 5 years kwa pande zote mbili.
 
Jamani hebu tuwekane sawa katka hili.kuna watu wengi sana wanadai eti haifai na haishauriwi kwa wachumba/mke na mume kulingana umri.kuna sababu nyingi wanazotoa eti ooh mke atazeeka mapema(wakati kuna matunzo) na nyingine nyingi .naombeni sana wanajamvi wenzangu mnisaidie mm na wengine wanaotatizwa na kelele hizi ili tujue ukweli.

Hakuna tatizo we kama unataka kuoa, oa tu!
 
Jamani hebu tuwekane sawa katka hili.kuna watu wengi sana wanadai eti haifai na haishauriwi kwa wachumba/mke na mume kulingana umri.kuna sababu nyingi wanazotoa eti ooh mke atazeeka mapema(wakati kuna matunzo) na nyingine nyingi .naombeni sana wanajamvi wenzangu mnisaidie mm na wengine wanaotatizwa na kelele hizi ili tujue ukweli.

Ni kweli siyo sahihi, kwa sababu imethibitishwa akili/mawazo ya mwanamke na mwanaume yanatofautiana kutokana na nyumri, FANYA KUFUATILIA UTAGUNDUA WANAUME WANATULIA WAKIFIKA AT LEAST 30s wanataka kuoa, wakati watoto wa kike wao wanatulia kuanzia 24-27,pale unakuta wanataka kuolewa tu, unaweza ukaona mwanamke anapaswa kutofautiana umri na mumewe..at least 3years na kuendelea...nasema hivyo kwa sababu nimeshuhudia ndoa ya mwanaume wa 33yrs na mwanamke 21yrs and they were happy and you can't detect their age differences
 
Kama ni mwanaume Usidangabyike tena usithubutu kuoa mwanamke ambaye mnalingana umri akifika miaka 50 na wewe mume 50 hapo mwanamke ataonekana mama yako mdogo, na kwa hali yoyote lazima utamkimbia hamtaongozana kwenye functions mbali mbali, angalau kwa waswahili sisi unapaswa mume kumzidi mke miaka 7 na kuendelea, mfano mdogo angalia wanawake wenye miaka 50 wanafananaje na wanaume wamiaka 50 wanafananje kisha utaamua

Jamani hebu tuwekane sawa katka hili.kuna watu wengi sana wanadai eti haifai na haishauriwi kwa wachumba/mke na mume kulingana umri.kuna sababu nyingi wanazotoa eti ooh mke atazeeka mapema(wakati kuna matunzo) na nyingine nyingi .naombeni sana wanajamvi wenzangu mnisaidie mm na wengine wanaotatizwa na kelele hizi ili tujue ukweli.
 
Haya ndio mapenzi bwana.....hii kitu inayoitwa kupenda hii acheni tu jamani, ila cha muhimu ni kupendana tu kwa dhati wazee
 
Jamani hebu tuwekane sawa katka hili.kuna watu wengi sana wanadai eti haifai na haishauriwi kwa wachumba/mke na mume kulingana umri.kuna sababu nyingi wanazotoa eti ooh mke atazeeka mapema(wakati kuna matunzo) na nyingine nyingi .naombeni sana wanajamvi wenzangu mnisaidie mm na wengine wanaotatizwa na kelele hizi ili tujue ukweli.

Hawa katika hii picha wote wana miaka 85!

lena-henderson.jpg
 
Umri ishu kubwa ni heshima na upeo. Wanawake wanakuwa kiakili haraka kuliko wanaume, ndo maana binti wa 18yrs unaweza kumuozesha na akazaa na kumudu familia kama jembe la 30yrs bt mvulana 18yrs ukimuozesha itakuwa mshikemshike humo ndani.

Hivo unakuta mkioana wote 25 to 25 wewe mwanaume ukiwa 25 upeo wako utakuwa kununua flashy cars, kunywa kidogo na wadau jioni, kupendeza na pamba na shoes za bei mbaya, hivi ndo vitu utaenjoy kuvifanya ila msichana yeye 25 atataka mzae mtoto, majukumu yatazidi, mjenge nyumba msipange, atadai shule nzuri ya mtoto, sasa utagundua mvulana ataanza kuona binti anmcontrol, anamnyima uhuru, anataka life la juu huku uwezo hma. Binti nae ataanza kuona mwanaume mzigo, hawajibiki vya kutosha na kuanza kuhisi maybe she made a wrong move!!! Atakuwa kila siku kumcompare mumewe na waume za mashosti zake. Basi ndo misuguano inaanza.

Ila kukiwa na gap ya age Man in his 35 binti 25 hapo swadaktaa. Man anakuwa kajijenga, yupo stable kiuchumi, amebakiza kuzaa na kuijaza dunia! Binti nae hana pressure katuliaaa full kudeka kwa mmewe.
 
Umri ishu kubwa ni heshima na upeo. Wanawake wanakuwa kiakili haraka kuliko wanaume, ndo maana binti wa 18yrs unaweza kumuozesha na akazaa na kumudu familia kama jembe la 30yrs bt mvulana 18yrs ukimuozesha itakuwa mshikemshike humo ndani.

Hivo unakuta mkioana wote 25 to 25 wewe mwanaume ukiwa 25 upeo wako utakuwa kununua flashy cars, kunywa kidogo na wadau jioni, kupendeza na pamba na shoes za bei mbaya, hivi ndo vitu utaenjoy kuvifanya ila msichana yeye 25 atataka mzae mtoto, majukumu yatazidi, mjenge nyumba msipange, atadai shule nzuri ya mtoto, sasa utagundua mvulana ataanza kuona binti anmcontrol, anamnyima uhuru, anataka life la juu huku uwezo hma. Binti nae ataanza kuona mwanaume mzigo, hawajibiki vya kutosha na kuanza kuhisi maybe she made a wrong move!!! Atakuwa kila siku kumcompare mumewe na waume za mashosti zake. Basi ndo misuguano inaanza.

Ila kukiwa na gap ya age Man in his 35 binti 25 hapo swadaktaa. Man anakuwa kajijenga, yupo stable kiuchumi, amebakiza kuzaa na kuijaza dunia! Binti nae hana pressure katuliaaa full kudeka kwa mmewe.

Bora umeliweka wazi, nakubaliana na haya mawazo
 
Umri ishu kubwa ni heshima na upeo. Wanawake wanakuwa kiakili haraka kuliko wanaume, ndo maana binti wa 18yrs unaweza kumuozesha na akazaa na kumudu familia kama jembe la 30yrs bt mvulana 18yrs ukimuozesha itakuwa mshikemshike humo ndani.

Hivo unakuta mkioana wote 25 to 25 wewe mwanaume ukiwa 25 upeo wako utakuwa kununua flashy cars, kunywa kidogo na wadau jioni, kupendeza na pamba na shoes za bei mbaya, hivi ndo vitu utaenjoy kuvifanya ila msichana yeye 25 atataka mzae mtoto, majukumu yatazidi, mjenge nyumba msipange, atadai shule nzuri ya mtoto, sasa utagundua mvulana ataanza kuona binti anmcontrol, anamnyima uhuru, anataka life la juu huku uwezo hma. Binti nae ataanza kuona mwanaume mzigo, hawajibiki vya kutosha na kuanza kuhisi maybe she made a wrong move!!! Atakuwa kila siku kumcompare mumewe na waume za mashosti zake. Basi ndo misuguano inaanza.

Ila kukiwa na gap ya age Man in his 35 binti 25 hapo swadaktaa. Man anakuwa kajijenga, yupo stable kiuchumi, amebakiza kuzaa na kuijaza dunia! Binti nae hana pressure katuliaaa full kudeka kwa mmewe.

To the point !!
 
Tofauti ya umri si tatizo kwa wachumba kabisa.
Zamani kazi nyingi ngumu zilifanywa na mwanamke.kulima,kukata kuni,mwendo mrefu kuchota maji,uzao wa watoto wengi bila lishe bora.kiukweli walikuwa wanazeeka kabla ya sis wanaume.
Kwa sasa maisha yamerahisishwa sana na huduma za kijamii,technologia na zaidi wanawake kuwa sehemu muhimu ya labour force ktk ajira nyingi rasmi. Hivyo umri kuwa sawa au mwanamke kumzidi mwanaume sitatizo. I wish kama ningeoa aliyenizidi umri ingependeza zaidi.reason behind,wanawake wana mawazo ya kujenga as age goes on.
 
Kuoa mwanamke unayelingana naye umri si tatizo especially km wote mko matured kiasi chakuweza kuoana nakuishi pamoja. Ila kuoa mwanamke uliyemzidi umri ni jambo jema zaidi. Japo kila mtu ana maoni yake ila washauri wengi wa mambo ya ndoa (marriage counselors) wanasema difference ya miaka walau iwe 3yrs.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom