Seif al Islam
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 2,156
- 638
Jamani hebu tuwekane sawa katka hili.kuna watu wengi sana wanadai eti haifai na haishauriwi kwa wachumba/mke na mume kulingana umri.kuna sababu nyingi wanazotoa eti ooh mke atazeeka mapema(wakati kuna matunzo) na nyingine nyingi .naombeni sana wanajamvi wenzangu mnisaidie mm na wengine wanaotatizwa na kelele hizi ili tujue ukweli.