KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Hivi kulikua na sababu yeyote ya msingi jk kumteua mzee mwandosya kuwa waziri wakati ni wazi kabisa inaonyesha hali yake kiafya bado haijatengemaa sawasawa??
Je watanzania tutegemee mchango gani kutoka kwa mzee wetu huyu mtaalam aliyebobea kwenye masuala mazima ya mazingira ambae dunia imekua ikimtumia kwenye masuala hayo kipindi alipokua na afya nzuri?
Pichani chini:Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa na Waziri asie na Wizara Maalum Profesa Mark Mwandosya wakati alipomtembelea nyumbani kwake, Kunduchi jijini Dar es salaam kumjulia hali May 7, 2012.
Je watanzania tutegemee mchango gani kutoka kwa mzee wetu huyu mtaalam aliyebobea kwenye masuala mazima ya mazingira ambae dunia imekua ikimtumia kwenye masuala hayo kipindi alipokua na afya nzuri?
Pichani chini:Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa na Waziri asie na Wizara Maalum Profesa Mark Mwandosya wakati alipomtembelea nyumbani kwake, Kunduchi jijini Dar es salaam kumjulia hali May 7, 2012.