Mathayo Christopher
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 410
- 283
Lawama za ahadi yake ya kutoa ajira maana hata waziri wake kakwepa kujibu siri zipo kwa mfalme
huu msemo asili yake wapi?na una maana gani?The sun is going down to chiolu
Alishasema msimjaribu na nyinyi mkafikiria anatania. Sasa acheni kuanza kuweweseka. Kaeni mkao wa kula.Mh.huwa sio kawaida yake kupotea kwenye media kiasi hiki.Kama sikose, inakatika wiki sasa hajasikika kabisa ingawa huenda labda mimi ndio sijamsikia...
mkuu wako na nani? usije sema wewe na watanzania, maana mimi ni Mtanzania na huyo hawezi kuwa mkuu wangukabanwa na majukumu mkuu wetu wa nchi
Fyatua mtoto wewe acheni maneno maneno. Nyie mliziba midomo kwa plaster, mnafikiri na yeye kafanya hivyo? Hajaribiwi, kilichobaki ni action tu siku ya 1 Sep ikifika; maneno sasa basi ni kipigo tu. Watu waoga ndiyo huendelea kubwabwaja maneno mengi siku ya kutinga kwenye ring inapokaribia. Mara oh nitamtoa knock out kwenye round ya kwanza. Mara oh jamani nishikeni mkono la sivyo nitammaliza. Siku ikifika inakuwa oh leo nina malaria tuahirishe siku nyingine nitakapopona nk nkHana jipya ndio maana.
Hivi wewe huwa una nini? Kumchokoza Na akijitokeza unaanza kumnanga. Nenda play store ya Simu yako ya android tafuta Magufuli Leo utapata mambo yakeMh.huwa sio kawaida yake kupotea kwenye media kiasi hiki.Kama sikose, inakatika wiki sasa hajasikika kabisa ingawa huenda labda mimi ndio sijamsikia.Kama kuna mlio msikia,basi mtujuze na wengine ila nikiri wazi na nitoe angalizo kuwa jana sikuangalia taarifa ya habari maana huenda alisikika.
Maswali:
1.Tatizo ni kuelekea September mosi?
2.Kapewa ushauri akae kimya kwa muda?
3.Majukumu yamembana?
4.Kabadili sytle?
5.Kasoma alama za nyakati?
6.Kaamua kutumia wasaidi wake?
7.Tusubiri kishindo?
8.Lawama zimekuwa nyingi?
9.Matatizo ya kibinadamu?
10.Ni hali ya kawaida tu?
Je,wenzangu, mnafikiri tatizo ni nini hasa?
Kimya gani?Mbio za sakafuni huishia ukiongoni.
mkuu fatua tu km ilivyoagizwaWe tulia si tupo busy kufatua watoto
Chiolu ndo nini iyo mkuuThe sun is going down to chiolu
Asee u made my day. BwahahahahahaWe tulia si tupo busy kufatua watoto
Umetoka usngzin... Soma hints kwanza. Ukuta umefuata nn??MWANAUME AKISHA SEMA HARUHUSIWI KUENDELEA KUIONGEA AMRI NI MOJA TU HAKUNA UKUTA..
UNAITAJI NINI TENA ANAEYE FIKIRI UTANI AANDAMANE NDIO MTAMTAMBUWA KUWA HANA MASIHARA
Ni mji mmoja nchini Nigeria na hilo ni jina la Novel mtunzi ni Chinua AchebeChiolu ndo nini iyo mkuu
Mkuu wanalijua sana hilo, wametumwa kutafuta manenoMWANAUME AKISHA SEMA HARUHUSIWI KUENDELEA KUIONGEA AMRI NI MOJA TU HAKUNA UKUTA..
UNAITAJI NINI TENA ANAEYE FIKIRI UTANI AANDAMANE NDIO MTAMTAMBUWA KUWA HANA MASIHARA
Umeambiwa kufyatua watoto, sio kutafuta!We tulia si tupo busy kufatua watoto