Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Mh.huwa sio kawaida yake kupotea kwenye media kiasi hiki.Kama sikose, inakatika wiki sasa hajasikika kabisa ingawa huenda labda mimi ndio sijamsikia.Kama kuna mlio msikia,basi mtujuze na wengine ila nikiri wazi na nitoe angalizo kuwa jana sikuangalia taarifa ya habari maana huenda alisikika.
Maswali:
1.Tatizo ni kuelekea September mosi?
2.Kapewa ushauri akae kimya kwa muda?
3.Majukumu yamembana?
4.Kabadili sytle?
5.Kasoma alama za nyakati?
6.Kaamua kutumia wasaidi wake?
7.Tusubiri kishindo?
8.Lawama zimekuwa nyingi?
9.Matatizo ya kibinadamu?
10.Ni hali ya kawaida tu?
Je,wenzangu, mnafikiri tatizo ni nini hasa?
Maswali:
1.Tatizo ni kuelekea September mosi?
2.Kapewa ushauri akae kimya kwa muda?
3.Majukumu yamembana?
4.Kabadili sytle?
5.Kasoma alama za nyakati?
6.Kaamua kutumia wasaidi wake?
7.Tusubiri kishindo?
8.Lawama zimekuwa nyingi?
9.Matatizo ya kibinadamu?
10.Ni hali ya kawaida tu?
Je,wenzangu, mnafikiri tatizo ni nini hasa?