Kulikoni Tanzania Daima?

Speaker

JF-Expert Member
Aug 12, 2010
6,324
2,238
Nimekuwa nikienda kwenye meza za magazeti hapa UDSM kila mara naambiwa tz daima limeisha,yaani kila siku nalikosa!

Mie nilidhani ni kwamba linapendwa sana,ila leo nimeenda sehemu fulani pia sikupata,nikaamua kuuliza kulikoni nikaambiwa "sijui pia,me nikienda kuchukua napewa copy 10 tu",.....kwa nini wanachapa magazeti machache kiasi hicho?

Au ndo kufilisika?
 
kuna jamaa yupo dom nilimpigia simu kumuuliza hot nyuz za tz daima leo akasema dom yaliisha mapema hii ina maana ni karibu tz nzima. shame tz daima
 
kuna jamaa yupo dom nilimpigia simu kumuuliza hot nyuz za tz daima leo akasema dom yaliisha mapema hii ina maana ni karibu tz nzima. shame tz daima

nimewastukia wanatoa copy chache sanaaaaaaa,any way wajua biashara zao lakini mm nilikuwa napenda sana habari zao ila ndo wamesha anza uchakachuzi sijui tuanze kuweka oda ya kupata gazeti kila siku
 
Baada ya kulikosa leo nikajaribu kulitafuta kwenye mtandao, nikakutana na toleo la tarehe 30 December, jamaa wamefulia kote kote,
 
Mhariri Mtendaji wa Tanzania Daima, Absalom Kibanda, ndiye anayeliuwa hili gazeti. Hana muda tena wa kufuatilia circulation na distribution ya gazeti. Yuko busy anafanya kazi part-time kwenye magazine ya Edward Lowassa inaitwa UMOJA. Pia Kibanda amekuwa anatoa habari za kumbeba Lowassa, Rostam Aziz na Andrew Chenge kwenye Tanzania Daima. Kwa kupokea malipo kutoka kwa Lowassa na Rostam, Kibanda pia amekuwa akiandika habari za kuwakashifu Samuel Sitta, Harisson Mwakyembe, Bernard Membe na John Magufuli.

Tatizo hapa ni kuwa mmiliki wa Tanzania Daima, Freeman Mbowe, pia yuko karibu na fisadi Edward Lowassa ndiyo maana anaruhusu ushenzi huu ufanyike. Tanzania Daima litakufa baada ya muda kwa mwenendo huu. Limekuwa ni gazeti linalotumiwa na mafisadi.
 
Mhariri Mtendaji wa Tanzania Daima, Absalom Kibanda, ndiye anayeliuwa hili gazeti. Hana muda tena wa kufuatilia circulation na distribution ya gazeti. Yuko busy anafanya kazi part-time kwenye magazine ya Edward Lowassa inaitwa UMOJA. Pia Kibanda amekuwa anatoa habari za kumbeba Lowassa, Rostam Aziz na Andrew Chenge kwenye Tanzania Daima. Kwa kupokea malipo kutoka kwa Lowassa na Rostam, Kibanda pia amekuwa akiandika habari za kuwakashifu Samuel Sitta, Harisson Mwakyembe, Bernard Membe na John Magufuli.

Tatizo hapa ni kuwa mmiliki wa Tanzania Daima, Freeman Mbowe, pia yuko karibu na fisadi Edward Lowassa ndiyo maana anaruhusu ushenzi huu ufanyike. Tanzania Daima litakufa baada ya muda kwa mwenendo huu. Limekuwa ni gazeti linalotumiwa na mafisadi.

????????
sidhani kama unacho sema ni kweli
 
Mhariri Mtendaji wa Tanzania Daima, Absalom Kibanda, ndiye anayeliuwa hili gazeti. Hana muda tena wa kufuatilia circulation na distribution ya gazeti. Yuko busy anafanya kazi part-time kwenye magazine ya Edward Lowassa inaitwa UMOJA. Pia Kibanda amekuwa anatoa habari za kumbeba Lowassa, Rostam Aziz na Andrew Chenge kwenye Tanzania Daima. Kwa kupokea malipo kutoka kwa Lowassa na Rostam, Kibanda pia amekuwa akiandika habari za kuwakashifu Samuel Sitta, Harisson Mwakyembe, Bernard Membe na John Magufuli.

Tatizo hapa ni kuwa mmiliki wa Tanzania Daima, Freeman Mbowe, pia yuko karibu na fisadi Edward Lowassa ndiyo maana anaruhusu ushenzi huu ufanyike. Tanzania Daima litakufa baada ya muda kwa mwenendo huu. Limekuwa ni gazeti linalotumiwa na mafisadi.

Unaujakika unachosema?
 
hii mbona inatumiksi, huyu anayesema kuhusu kibanda ni shushushu anataka kuharibu au? mie sielewi. Tanzania daima waseme ukweli hapa hapa, maana hata hapa Bukoba ni issue, na kama ukweli ndo huo, basi tutabakiza Mwananchi. Aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhhhhhh
 
jamani hata mimi nimeamka nimekwenda napokwenda kulinunua nikakuta alipi jamani nikajisikia vibaya sana
 
MIMI naona ni matatizo ya kawaida kwani hata magazeti
mengine huwa na matatizo hayo hayo. Kwa mfano gazeti la
Majira si katika distribution tu hata kwenye mtandao linasumbua,
Tz Daima ni gazeti ambalo huwa nalisoma 00:00 AM mapema kuliko
magazeti mengine yote likifuatiwa na MWANANCHI. Mbona Mwanahalisi
na Darleo huwa kimeo kupatikana kwenye meza na kwenye mtandao. Muhimu
ni kutoa hoja zinazoshauri nini kifanyike matatizo hayo yatokomee kwenye gazeti hilo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom