nkosikazi
JF-Expert Member
- Mar 11, 2010
- 361
- 336
kwa hapa ndo mh dk jk ananiacha hoi,amekaa takriban mwaka tka aanze awam ya pili,hv kama kwl kwa mda huo wote alishindwa kujua hyu aende wapi yule wapi??hv si watalipwa hela ya transfer??inauma sana tena sana,na mungu yupo anatuona wote ss wanyonge na mackin
Mkuu wa mkoa lindi aliishakaribishwa na sherehe kubwa ilifanyika oceanic hotel na millions were spent kwa ajili ya kumkaribisha tu. Aliishaenda na kukutana na watendaji kwenye wilaya na kutembelea projects chache. Sasa hivi watu ofisini kwa Ras wanalalamika kuhusu matumizi makubwa mapya yanayowasubiri hali hamna fungu lake. Hii ndo nchi ya Kikwete! Sometimes huwa najiuliza sisi watz ndio kiongozi wetu tuliyemchagua atuongoze kizembe hivi? Kweli hatuna akili.