Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
Wapwa na mabinamu
of recent nimehamia pemba ambako samaki ni chakula chao cha kila siku
ila mi kutoka bara naona maisha yatakuwa magumu kama nisipojua mila na desturi za kumla samaki
naombeni ushauri njia ipi bora ya kumla samaki hasa katika mazingira hayo?
natanguliza shukrani!:rolleyez:
of recent nimehamia pemba ambako samaki ni chakula chao cha kila siku
ila mi kutoka bara naona maisha yatakuwa magumu kama nisipojua mila na desturi za kumla samaki
naombeni ushauri njia ipi bora ya kumla samaki hasa katika mazingira hayo?
natanguliza shukrani!:rolleyez: