Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,598
- Thread starter
- #21
That will work opp!....please!
Njoo basi hapa kwenye duka langu la pharmacy
That will work opp!....please!
koh!koh!koh!koh....I need B kubwa....
labda nicheze na
wewe.......
Balantanda na OPP you are crazy actual OPP hujakose amimi kwenye mchezo wa baba na mama nilikuwa nakuwa mama kila wakati na baba alikwua kaka mmoj ahivi anaitwa Steven sijui yule kaka yupo wapi!....alikuwa kichuna eeh!....
Ngoja nifumbe macho ni-imagine BM na Steve hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!
Nimekuwa sasa hivi sichezi tena mchezo wa baba na mama!.....siku hizi nacheza grown ups games!
Steve ni jina langu la utotoni...
Huyu Binti Maringo ana kumbukumbu nzuri sana...
umenikumbusha dada mmoja alisema yeye hananiliii bali she does the real thing........(......) hahahaaaa!!!!
Steve ni jina langu la utotoni...
Huyu Binti Maringo ana kumbukumbu nzuri sana...
bht kweli inabidi niwahi kofta za opp zilizo karibu ila itabidi niangalie expiration date maana zisije ni cost zaidi!....
hahaha see me and that lady we think alike!.....we dont do baba na mama.....the real thing si so delicious....
hahaha see me and that lady we think alike!.....we dont do baba na mama.....the real thing si so delicious....
haha-ha-ha kumbe umelikumbuka duuh!..unakumbuka last time wewe kuwa baba na mimi kuwa mama?....yooooh wee acha tuu!.....what happened into that cave stays into that cave innit darling?!...
ofcoz ze real thing ndo yenyewe bana!!
haya bwana yabaki kuwa yenu!!!!!!!!!!!!!!
mimi nilikuwa nacheza bwana harusi kila siku...
bibi harusi nilikuwa nabadilisha.......
Nimekuwa sasa hivi sichezi tena mchezo wa baba na mama!.....siku hizi nacheza grown ups games!
mi naomba mchezo huu nicheze na jeni, nitamdunda mpaka pearl aje kumuombea msamaha.
Zamani tulikuwa tukicheza tobo dunda, mnacheza mpira wa miguu ukimpiga mwenzako tobo basi mnamdunda hadi akashike mti.
Kuna siku tulikadunda ka bwamdogo kamoja kumbe kana sikoseli, kakazimia, kakauugua mwezi mzima hakakuja shule,
huo ndio ukawa mwisho wa mchezo wa tobo dunda pale shuleni kwetu Nzovwe shule ya msingi kalobe.
Mpwa umesha acha kubadilisha ma biharusi?
grown ups games with real toys sio?????
u be my toy girl,i can be ur toy boy...