:bange: Allow guys, kwanza kabisa napenda kushukuru kuvumbua ukurasa huu kwa kweli umenivutia saana. lninajmbo ambalo sielewi. Uchumi USA unakuwa kwa mwaka kama asilimia 2 hivi lakini wananchi almost wote wanafill kwa maana huduma za kijamii zinaboreka, sasa kwetu hapa tumeambiwa mwaka huu uchumi wetu umekuwa asilia saba lakini sioni mabadiliko yeyote? hii ni ktu gani jamani ? nin maana ya aslimia 7